Bueno
JF-Expert Member
- Sep 9, 2022
- 4,114
- 6,449
Nishakuonyesha hio ni code fungua weweSasa wewe kwa mtazamo wako "pay play low lost forever" ina maana gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nishakuonyesha hio ni code fungua weweSasa wewe kwa mtazamo wako "pay play low lost forever" ina maana gani?
Pay = lipa (lipiza | lipia)Hahah. Wewe itakuwa graphics designer wa Simba unataka watu wapotezee. Mimi Simba ila nimependa huu utani. Yanga wanasubiri kumwagia watu maji ya maiti.
Ni local designers ndio wametengeza hio Posta sio ProNafikiri Designing za Simba Kama hio wame desgn just for fun tu tatizo la watu au wewe kuwa serious sana
Wewe ni mmoja wao na unaonyeshwa umewashwa kureply comment yangu.. jiandae kupelekwa mbuzi kagomaNa wewe umechotwa akili na mleta mada alieshindwa kung’amua mambo?
Wameingia kwenye mtego..wameboost visit Tanzania yetu😂😂😂😂😂ila bora wametutangazia Serengeti
Kuna uwezekano kwenye hilo ulilosema ni kweli kabisa. Kuna kitu nilitaka kusema ila nimeona niache.Ngoja nifunge domo ila aliyeandika caption zao ndiye aliyefanya hizo graphics unazosema zimepondwa!
Tulia hii level sio zile zenu! Huku professionalism is everything [emoji2]
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Kejeli ipo ila ni ya kisomi, tunatoka kwenye kejeli za kiswahili swahili, za husda, wivu na matusi, tunataniana kizungu sasa 🤣😂🤣Sasa hapo kejeli iko wapi..yaani wewe Utopolo ulichofurahi ni huyo au hizo za kijani...kila mtu aangalie mechi zake...toweni na nyie poster yenu
Kama Simba damu OKW BOBAN SUNZU hajaelewa Mimi ndiyo kabisaSijaelewa kitu. Niendelee na nyuzi zingine
Pole sana kama ndivyo wanavyokufanya kila ukiwashwa tu heko kwa bwana akoWewe ni mmoja wao na unaonyeshwa umewashwa kureply comment yangu.. jiandae kupelekwa mbuzi kagoma
Kuna theory inatembea huko mitandaoni. Tukumbuke mara nyingi kwenye mautani yetu, Yanga wamehusishwa na vyura.Kuna kingine huyo jamaa amesema. Amesema "Pepe's long lost brother, now we are coming!". Nimekutana na maana hii ya "Pepe's little brother". Mwenye uelewa wa reference hii atujuze nisije nikasema kituko.
View attachment 2517675