meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,425
- 4,768
Yatarudi kibo palace?Yani ukifika meserani unaingia huko mbugani ambapo ndio rally iyakapofanyikia kwa mujibu wa maelezo tuliopewa japo magari yapo pale kisongo na yataanza saa 12 asubuhi hayo mashindano so kama unataka kushuhudia its better uondoke kwako saa 11 ili uwahi
Rally kwa leo imeusha itaendelea tena kesho kuanzia yellow stone mida ya saa moja na nusu yatapita moita,kiongozi kwa leo ni babu wa Arusha kama kawaida yake Gérald miller babu wa kidaslaam kirit pandya amepata ajali yuko hospital lkn hali yake uko poa Sana Mungu ampe wepesi na kuna kamaagar mawili pia yamepata hitilafu.nikiripoti kutoka Arusha mm ni Bigjahman waaaaa jf
Nafikiri wadhamini hakuna siku hizi,nakumbuka miaka ya 1990's Moshi/Arusha kulikuwa na mashindano mengi yalikuwa yanaanzia Kenya-Moshi-Arusha
Yatarudi kibo palace?
Hapo vifaru vinajulikana. Kirit Pandya, Dharham Pandya, Bob Taylor, Larry Horns, Gerald Miller,Kelvin Taylor, Raju Deere. Nilipata nafasi ya kuangalia guru nanak rally mwaka jana na mwaka huu siikosi. Cha ajabu huu mchezo media coverage na sponsors kwa makampuni ya ndani ni sifuri nadhani serikali imeutenga huu mchezo wakati ni mchezo muhimu sana toka enzi za mchonga meno.
Ni kweli mkuu lakini hilo la kutofanyika mara kwa mara sidhani kama ni kigezo kikubwa kiivo..
Alafu pia kuhusu wahindi, inaonekana hivo kwakuwa wengi ndio madereva ila kuna mashabiki wengi sana waswahili sana sana Arusha na Moshi. Rally za Dar ndio waswahili wanaoenda kufatilia ni wachache..
Gerad miller ni legend na napenda ashinde ila sijui kesho wanaanzia wapi na saa ngapi
Maintaining the racing car isn't a joke.
I know mkuu.. Ndio maana yanabaki kuwa mashindano ya watu wenye kipato..
Hilo nalo neno ndo mana tunawaskia hapa kina somebody khan, rijth sijui nani huko.
Siwasikii kina lyimo sijui john sijui shemdoe sisi twatimuliwa tuu vumbi.
Babu Miller in action
Dah iyo jump ya gurjit ni noma sana apo ndo kirit alipopata ajali kwa jump kama iyo Big up villain kwa pics broda