Rally ARUSHA

Rally ARUSHA

Yani ukifika meserani unaingia huko mbugani ambapo ndio rally iyakapofanyikia kwa mujibu wa maelezo tuliopewa japo magari yapo pale kisongo na yataanza saa 12 asubuhi hayo mashindano so kama unataka kushuhudia its better uondoke kwako saa 11 ili uwahi
Yatarudi kibo palace?
 
Rally kwa leo imeusha itaendelea tena kesho kuanzia yellow stone mida ya saa moja na nusu yatapita moita,kiongozi kwa leo ni babu wa Arusha kama kawaida yake Gérald miller babu wa kidaslaam kirit pandya amepata ajali yuko hospital lkn hali yake uko poa Sana Mungu ampe wepesi na kuna kamaagar mawili pia yamepata hitilafu.nikiripoti kutoka Arusha mm ni Bigjahman waaaaa jf

Final result for today Nane Nane Rally Arusha.
 

Attachments

  • 1437849745041.jpg
    1437849745041.jpg
    88.8 KB · Views: 155
Nafikiri wadhamini hakuna siku hizi,nakumbuka miaka ya 1990's Moshi/Arusha kulikuwa na mashindano mengi yalikuwa yanaanzia Kenya-Moshi-Arusha

Nadhani cha muhimu kuwe na mwamko kwanza.
Kuanze kuwa na street rallies badae wahamie national wise.
 
More Pictures
 

Attachments

  • 1437850634994.jpg
    1437850634994.jpg
    53.2 KB · Views: 131
  • 1437850733281.jpg
    1437850733281.jpg
    58.6 KB · Views: 129
  • 1437850792562.jpg
    1437850792562.jpg
    86.8 KB · Views: 132
  • 1437850831442.jpg
    1437850831442.jpg
    67.2 KB · Views: 127
  • 1437850863875.jpg
    1437850863875.jpg
    77 KB · Views: 122
Hapo vifaru vinajulikana. Kirit Pandya, Dharham Pandya, Bob Taylor, Larry Horns, Gerald Miller,Kelvin Taylor, Raju Deere. Nilipata nafasi ya kuangalia guru nanak rally mwaka jana na mwaka huu siikosi. Cha ajabu huu mchezo media coverage na sponsors kwa makampuni ya ndani ni sifuri nadhani serikali imeutenga huu mchezo wakati ni mchezo muhimu sana toka enzi za mchonga meno.

Mwaka huu hizi Rally za nane nane zimekuwa sponsored na Utrack na Radiowave ambapo kampuni zote ni za hapa hapa arusha.
 
Ni kweli mkuu lakini hilo la kutofanyika mara kwa mara sidhani kama ni kigezo kikubwa kiivo..

Alafu pia kuhusu wahindi, inaonekana hivo kwakuwa wengi ndio madereva ila kuna mashabiki wengi sana waswahili sana sana Arusha na Moshi. Rally za Dar ndio waswahili wanaoenda kufatilia ni wachache..

Maintaining the racing car isn't a joke.
 
Gerad miller ni legend na napenda ashinde ila sijui kesho wanaanzia wapi na saa ngapi

Kwa sasa anaongoza ila ana kazi ngumi mbele ya ONKAR RAI kutoka kenya ambaye anamfatia kwa karibu sana wakiwa wameachana 6 seconds tu kwa first leg ya leo.
 
I know mkuu.. Ndio maana yanabaki kuwa mashindano ya watu wenye kipato..

Hilo nalo neno ndo mana tunawaskia hapa kina somebody khan, rijth sijui nani huko.
Siwasikii kina lyimo sijui john sijui shemdoe sisi twatimuliwa tuu vumbi.
 
Hilo nalo neno ndo mana tunawaskia hapa kina somebody khan, rijth sijui nani huko.
Siwasikii kina lyimo sijui john sijui shemdoe sisi twatimuliwa tuu vumbi.

Wabongo wapo japo si wengi.. Huyo Salva aliyeshika namba 7 hapo juu ni mtoto wa kichagga..
saragossa nae kashaagiza Subaru yake mwakani wabongo tutaongezeka tu
 
Last edited by a moderator:
Dah iyo jump ya gurjit ni noma sana apo ndo kirit alipopata ajali kwa jump kama iyo Big up villain kwa pics broda
 
Today at the service park 17 km off road after meserani.
 

Attachments

  • 1437895205671.jpg
    1437895205671.jpg
    81.7 KB · Views: 98
  • 1437895225310.jpg
    1437895225310.jpg
    75 KB · Views: 90
  • 1437895244390.jpg
    1437895244390.jpg
    86.8 KB · Views: 87
  • 1437895261471.jpg
    1437895261471.jpg
    79 KB · Views: 85
Back
Top Bottom