Rally 'back pass' Bwalya

Rally 'back pass' Bwalya

Huenda huangalii mpira wewe, bwalya ana movements za mbele, ukiona hajaenda mbele basi kuna tatizo.

Game ya leo, bwalya alipoingia yanga walikuwa wamepaki basi na kushambulia kwa kushitukiza, ikiwa hivi watu wasio na mpira inabidi wampe machaguzi mwenye mpira kwa mikimbio yao lwenye nafasi, sasa wachezaji wameganda hawajiweki katika nafasi ya kuomba mpira unategemea aupeleke wapi, matokeo yake ni hizo back pass, pin point kwa wingi na square passes tu.
Simba ni ya kurekebishwa, nina mashaka na uwezo wa kocha.

Nb. Ni bwalya huyo ndio alipoingia atleast simba pale kati ikacheza, kipindi yupo benchi simba pale kati walifichwa ni yanga tu ndio walikuwa wanatamba pale.
... Kocha aliyewahi kuwa Real Madrid. 😛 😛
 
Huenda huangalii mpira wewe, bwalya ana movements za mbele, ukiona hajaenda mbele basi kuna tatizo.

Game ya leo, bwalya alipoingia yanga walikuwa wamepaki basi na kushambulia kwa kushitukiza, ikiwa hivi watu wasio na mpira inabidi wampe machaguzi mwenye mpira kwa mikimbio yao lwenye nafasi, sasa wachezaji wameganda hawajiweki katika nafasi ya kuomba mpira unategemea aupeleke wapi, matokeo yake ni hizo back pass, pin point kwa wingi na square passes tu.
Simba ni ya kurekebishwa, nina mashaka na uwezo wa kocha.

Nb. Ni bwalya huyo ndio alipoingia atleast simba pale kati ikacheza, kipindi yupo benchi simba pale kati walifichwa ni yanga tu ndio walikuwa wanatamba pale.
Usijidanganye wewe kwamba bwalya alivyoingia ndo yanga ikarudi nyuma? Aujui game plan ya kocha kiufundi unaongea tu, Ilikuwa ni lazima simba ije kwa nguvu kutafuta bao na yanga aikuwa na cha kupoteza kipindi cha pili ivyo walianza kutumia counter attack na kupoozesha mpira pindi walipokuwa wanaupata iyo ni mbinu ya kocha Nabi kutotumia nguvu kubwa wakati washapata goli, kwanini ujiulizi waiachiwa wachezee mpira lakini kupata nafasi ya kumchungulia kipa diarra walikuwa awaipati walikuwa wanazimwa walipokuwa wanakaribia kwenye arch, sasa mpira wa ivyo auna manufaa yoyote wakina mugalu waliwekwa korokoroni
 
Nitajie mchezaji mmoja pale simba anaemzidi Bwalya ball balance and ball control
Kutoa mada JF hailipiwi kwa hiyo acha tu atoe mada. Bwalya kwa simba ndo pekee anaejua ampe nani mpira na wakati gani. Otherwise mtoa mada ni shabiki wa magazetini na vijiweni.
 
Kutoa mada JF hailipiwi kwa hiyo acha tu atoe mada. Bwalya kwa simba ndo pekee anaejua ampe nani mpira na wakati gani. Otherwise mtoa mada ni shabiki wa magazetini na vijiweni.
Umesoma title au umevamia tu?
 
Acha kukopi na kupaste majibu mkuu, nimemzungumzia bwalya kama mada yako, au nimezungumzia kitu gani hapo??
Ningekupa maneno ya kuudhi ila nimekusamehe.
Mada inazungumzia bwalya kupiga pasi za kurudi nyuma sasa wewe na wenzio mnakuja na mada zenu.

Utukane kwasababu gani? Kwani wewe bado mtoto usiyeweza kuheshimu mawazo ya wengine?
 
Kumbuka tu bwalya hajaonyesha nusu ya kiwango chake alichotoka nacho power dynamo tangu atue msimbazi kinapanda na kushuka.
 
kwa ushauri wangu,yanga tumchukue left footer magician..huyu mwamba anaupga mwngi kinoma
 
Back
Top Bottom