Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
- Thread starter
- #21
Huu ndio u-gt?Acha UPUMBAVU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ndio u-gt?Acha UPUMBAVU
Umesoma mada inahusu nini au umekurupuka tu?Nitajie mchezaji mmoja pale simba anaemzidi Bwalya ball balance and ball control
... Kocha aliyewahi kuwa Real Madrid. 😛 😛Huenda huangalii mpira wewe, bwalya ana movements za mbele, ukiona hajaenda mbele basi kuna tatizo.
Game ya leo, bwalya alipoingia yanga walikuwa wamepaki basi na kushambulia kwa kushitukiza, ikiwa hivi watu wasio na mpira inabidi wampe machaguzi mwenye mpira kwa mikimbio yao lwenye nafasi, sasa wachezaji wameganda hawajiweki katika nafasi ya kuomba mpira unategemea aupeleke wapi, matokeo yake ni hizo back pass, pin point kwa wingi na square passes tu.
Simba ni ya kurekebishwa, nina mashaka na uwezo wa kocha.
Nb. Ni bwalya huyo ndio alipoingia atleast simba pale kati ikacheza, kipindi yupo benchi simba pale kati walifichwa ni yanga tu ndio walikuwa wanatamba pale.
Huyu kocha namkubali kwa kuwapa fursa wachezaji almost wote kwenye mechi mbalimbali.... Kocha aliyewahi kuwa Real Madrid. 😛 😛
Usijidanganye wewe kwamba bwalya alivyoingia ndo yanga ikarudi nyuma? Aujui game plan ya kocha kiufundi unaongea tu, Ilikuwa ni lazima simba ije kwa nguvu kutafuta bao na yanga aikuwa na cha kupoteza kipindi cha pili ivyo walianza kutumia counter attack na kupoozesha mpira pindi walipokuwa wanaupata iyo ni mbinu ya kocha Nabi kutotumia nguvu kubwa wakati washapata goli, kwanini ujiulizi waiachiwa wachezee mpira lakini kupata nafasi ya kumchungulia kipa diarra walikuwa awaipati walikuwa wanazimwa walipokuwa wanakaribia kwenye arch, sasa mpira wa ivyo auna manufaa yoyote wakina mugalu waliwekwa korokoroniHuenda huangalii mpira wewe, bwalya ana movements za mbele, ukiona hajaenda mbele basi kuna tatizo.
Game ya leo, bwalya alipoingia yanga walikuwa wamepaki basi na kushambulia kwa kushitukiza, ikiwa hivi watu wasio na mpira inabidi wampe machaguzi mwenye mpira kwa mikimbio yao lwenye nafasi, sasa wachezaji wameganda hawajiweki katika nafasi ya kuomba mpira unategemea aupeleke wapi, matokeo yake ni hizo back pass, pin point kwa wingi na square passes tu.
Simba ni ya kurekebishwa, nina mashaka na uwezo wa kocha.
Nb. Ni bwalya huyo ndio alipoingia atleast simba pale kati ikacheza, kipindi yupo benchi simba pale kati walifichwa ni yanga tu ndio walikuwa wanatamba pale.
Kutoa mada JF hailipiwi kwa hiyo acha tu atoe mada. Bwalya kwa simba ndo pekee anaejua ampe nani mpira na wakati gani. Otherwise mtoa mada ni shabiki wa magazetini na vijiweni.Nitajie mchezaji mmoja pale simba anaemzidi Bwalya ball balance and ball control
Umesoma title au umevamia tu?Kutoa mada JF hailipiwi kwa hiyo acha tu atoe mada. Bwalya kwa simba ndo pekee anaejua ampe nani mpira na wakati gani. Otherwise mtoa mada ni shabiki wa magazetini na vijiweni.
Title umeisoma au nawe unavamia kama hao wanaopinga?Mpaka kolo wenzio wsnakupinga ujue hujui kitu
Acha kukopi na kupaste majibu mkuu, nimemzungumzia bwalya kama mada yako, au nimezungumzia kitu gani hapo??Umesoma title au umevamia tu?
Mada inazungumzia bwalya kupiga pasi za kurudi nyuma sasa wewe na wenzio mnakuja na mada zenu.Acha kukopi na kupaste majibu mkuu, nimemzungumzia bwalya kama mada yako, au nimezungumzia kitu gani hapo??
Ningekupa maneno ya kuudhi ila nimekusamehe.
Nasikia baada ya mama kutangaza kikokoteo kipya kwa wastaafu huko pande za bunju mo arena ilikua furaha tupuTimu imejaa wastaafu watupu, mnataka mpaka wapate stroke uwanjani
Kwanini hajaonesha?Kumbuka tu bwalya hajaonyesha nusu ya kiwango chake alichotoka nacho power dynamo tangu atue msimbazi kinapanda na kushuka.
Wee una nn lakini? Khaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mambo yake muachie mwenyewe...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Timu imejaa wastaafu watupu, mnataka mpaka wapate stroke uwanjani
Hutaki mkuu?... Kocha aliyewahi kuwa Real Madrid. 😛 😛
Wastaafu wapo wachache..🤣🤣Timu imejaa wastaafu watupu, mnataka mpaka wapate stroke uwanjani