Rally Bwalya Simba wamepigwa mchana kweupe!

Shida ya Simba wanasajili kwa kuikomoa Yanga hata kwa chama wamepigwa Chama sio mchezaji wa kupewa Million 700
Aliyekwambia chama alipewa millioni 700 ni nani?
 
Aliyekwambia chama alipewa millioni 700 ni nani?
Million 700 yaweza kuwa thamani ya mkataba wote.
Hela ya usajili 300M. Mshahara wa 16M kwa mwezi ndani ya miaka miwili inakupa hiyo 700M.
 
Million 700 yaweza kuwa thamani ya mkataba wote.
Hela ya usajili 300M. Mshahara wa 16M kwa mwezi ndani ya miaka miwili inakupa hiyo 700M.
Hakuna mchezaji wa kibongo analipwa hata 10Mil per month. Acheni uongo wenu... Ngoja tutaona January maana TIN zao ziko wazi
 
Hii paragaraph ya mwisho, nakubaliana na wewe 100%
 
Million 700 yaweza kuwa thamani ya mkataba wote.
Hela ya usajili 300M. Mshahara wa 16M kwa mwezi ndani ya miaka miwili inakupa hiyo 700M.
Chama alilipwa dola 72000 uki convert kwa shilling haifiki million 300 km ulivyoainisha.
 
Chama alilipwa dola 72000 uki convert kwa shilling haifiki million 300 km ulivyoainisha.
Kiongozi sina uhakika na hizo figures. Hiyo yaweza kuwa kianzio mwaka wa kwanza. Ni kama nusu yake.
 
Walimu wako shukeni walipata sana tabu
Nishasema hakuna mchezaji BONGO anakula mshahara wa 10 Mil per month.. Marupurupu bado, tena mnakaa kambini na chakula mnakula free hapo. HAKUNA NI KICHAKA CHA KUONESHA WADHAMINI WANATOA PESA NDEFU. UONGO KAMA HUU MWISHO WAKE NI 31 DEC.
P.A.Y.E itasema mshahara halisi wa wachezaji mmezoea kuwadanganya mashabiki mpka kero sasa. Mara kocha wa SIMBA analipwa MIL 30 per month, hizi fix zina mwisho.
 
tatizo hawewezi kucheza wachezaji wote 24 kwenye mech 1
 
UKWELI USEMWE.
SIMBA INAIDADI KUBWA SANA YA WACHEZAJI WABOVU HASA PRO AMBAO NINGEKUWA KIONGOZI SIMBA NINGEACHANA NAO NI HAWA WAFUATAO...

1. PASCAL WAWA.
2.JOASH ACHENG.
3 .KAHATA.
4. BWALYA.
5. MORISON AMESHINDWA......
6. MUGALU NAE AMESHINDWA KABISA.

WANAOFANYA VIZURI NI.
1. CHAMA
2. KAGERE.
3.MISQUSON.

KWAHERI FLAGA.
 
Timu ikisha mnyuka mtu tano bila, basi na wachezaji wengine basi na wenyewe wapewe walau dakika kumi na tano za mwisho wamalizie ili na wale majembe yetu wapumzike.
Tuanze na full squad(first eleven) na matokeo yakisha patikana basi sub zifanyike haraka. Kama kuna mchezaji ataonekana anacheza chini ya kiwango, asicheleweshwe kubadilishwa.
 
Rally Bwallya ni mchezaji mzuri sana ndio maana huwa anaitwa timu ya taifa ya Zambia licha ya vipaji kukuki vilivyopo Zambia. Kiufundi Bwalya yupo vizuri sana na hilo halina ubishi kabisa lakini anachokosa uwanjani ni nguvu tu . Sina uhakika lakini inawezekana ligi ya Zambia ikawa haina matumizi makubwa sana ya nguvu ndio maana alikuwa anafanya vizuri sana kuliko hapa kwetu. Kikubwa aingie tu "gym" na kula vyakula vya kuongeza utimamu wa mwili atafanikiwa kwani ana kipaji kikubwa sana cha mpira. Mohamed Hussein alikuwa na mapungufu kama hayo misimu miwili mitatu hivi iliyopita. Lakini leo hii Mohamed Hussein ni mchezaji aliyekamilika kwa asilimia 100% kwani zile 50-50 anapambana vizuri sana tena na mijitu iliyoshiba kama ya Plateau na anapata mipira tofauti na zamani alikuwa hawezi hayo mapambano. Kwa hiyo ni jukumu la kocha wa viungo na hata mchezaji mwenyewe kushirikiana kwa pamoja ili kumtengenezea Bwalya utimamu wa mwili ili aweze kukabiliana uwanjani na wachezaji wenzake ambao wana matumizi makubwa ya nguvu.
 
Niliskia mlevi mmoja akisema simba ina vigagura Bunju complex's vinavyowapiga wageni vipapai,

Ila ni maneno ya watanzani tuu sio kweli
 
Watumua Mwamedi, Morrison nae sijui aliwapiga sh ngap, maana Hawa jamaaa kwa kupigwa hawajambo kichuya kashasababisha wapigwe million 300+
 
Mbona umekomalia mini kinaenda kutokea hiyo December halafu mbona unawawkia simba tu siyo Azaam au utopolo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…