hiv huyu kijana anashindwaje kun'gaa wakati ana anatoaga ngoma kali na zenyeh unique ambapo uwezi ukapata kwa msanii yoyote kiukwel kabisa sijaona Tanzania msanii mwenye kufika hata robo ya uwezo wa huyu jamaa lakini Cha ajabu ngoma zake azifanyi vizuri japo ngoma zake ni Kali kwelkwel kuliko hata za wasanii wenzake ebu sikiliza ngoma zake hapo
Muziki sio kujua kuimba vizuri tu mkuu. It takes everything else and most especially it takes discipline kufika katika mafanikio.
Ata ng'aa vipi wakati anatoa nyimbo moja baada ya miaka miwili wakati wenzie wanatoa nyimbo kila mwezihiv huyu kijana anashindwaje kun'gaa wakati ana anatoaga ngoma kali na zenyeh unique ambapo uwezi ukapata kwa msanii yoyote kiukwel kabisa sijaona Tanzania msanii mwenye kufika hata robo ya uwezo wa huyu jamaa lakini Cha ajabu ngoma zake azifanyi vizuri japo ngoma zake ni Kali kwelkwel kuliko hata za wasanii wenzake ebu sikiliza ngoma zake hapo
Naona umekufa umeoza kwake.Ngoma zake zimegoma kuweka hapa ebu tafuteni ngoma zake hiz nibebe na mazoea alafu uone uwezo wa huyu jamaa vocal yake pekee unaweza kuombea mkopo benki na ukapewa pia vocal yake inaweza kutibu magonjwa sugu Bila kusahau vocal yake anaweza akaitumia kutongoza demu yoyote na asikataliwe.Huyu jamaa ana vocal moja tamu Sana sijawahi kuona kwa hapa bongo kiukwel na hata kwa Africa kwa wanaofanya vizuri.
Mtu Kama anastahili sifa lazima tumpe sifa zake tusisubili mpaka afe ndo tuseme ooh Rama Dee alikuwa na kipaji Cha ajabu tutakuwa hatumtendei haki jamani kiukwel huyu jamaa ngoma zake zinanikosha Sana.Naona umekufa umeoza kwake.
MAHABA NIUE.
Kwani ngoma zako Ili zifanye vizuri ni lazima zichezwe clouds?mbona kipindi kile ngoma za aslay zilifanya.vizuri Bila hata kupigwa clouds?Kuna kipindi ngoma zake zilifanya poa sana na Clouds walimpa mashavu sana baadaye akajiunga na magenge ya wasanii wenye ugomvi ndio ikawa poromoka yake huyu na wale jamaa wa mapacha.
Sawa kaka nimekuelewa.Mtu Kama anastahili sifa lazima tumpe sifa zake tusisubili mpaka afe ndo tuseme ooh Rama Dee alikuwa na kipaji Cha ajabu tutakuwa hatumtendei haki jamani kiukwel huyu jamaa ngoma zake zinanikosha Sana.
Ahaaaaaaah ijue hali halisi ya muziki bongo,previous aslay ngoma zake zilikuwa zinahit because zilikuwa zinapigwa clouds ,but nowadays analalamika analogwa baada ya fullstop mawinguni ahaaaah ataelewa shoooooo.Kwani ngoma zako Ili zifanye vizuri ni lazima zichezwe clouds?mbona kipindi kile ngoma za aslay zilifanya.vizuri Bila hata kupigwa clouds?
Kuna tofauti yoyote ya kimaelewano kati ya huyo kijana na clouds???Ahaaaaaaah ijue hali halisi ya muziki bongo,previous aslay ngoma zake zilikuwa zinahit because zilikuwa zinapigwa clouds ,but nowadays analalamika analogwa baada ya fullstop mawinguni ahaaaah ataelewa shoooooo.
Mzee naona ufatilii mziki Mara ya kwanza aslay ngoma zake zilikuwa Zina hit mtaani na Wala zilikuwa azipigwi radion baadae akabadilisha system ndo akaanza kureleese ngoma zake redioni.Ahaaaaaaah ijue hali halisi ya muziki bongo,previous aslay ngoma zake zilikuwa zinahit because zilikuwa zinapigwa clouds ,but nowadays analalamika analogwa baada ya fullstop mawinguni ahaaaah ataelewa shoooooo.
Ahaaaaaaaaah kweli wewe ni ndumilakuwiliKuna tofauti yoyote ya kimaelewano kati ya huyo kijana na clouds???