Rama dee (kinega) amaliza beef na Ruge

Rama dee (kinega) amaliza beef na Ruge

Ruge amewahi kukiri kuwa moja ya wasanii anaowahusudu na kusikiliza sana kazi zao ingawa wana tofauti ni Rama Dee ....Ruge ni muungwana sana
 
Ati?
Ila Clouds Media kwa kutengeneza watu mbadala hawajambo...
Alivyoondoka Gardener Habash bado nikawa naisikia sauti ya jamaa kwenye matangazo yao hasa ya kuinadi FM ACADEMIA (Ile sauti sijui ya jamaa gani...alitembea mulemule)
Baada ya Ray C kukabwa na unga kooni,Recho na 'Upepo' wake uka-cover nafasi ya mtoto wa Chalamila..
Ruby nae akasusia pilau,kisa halina kachumbari,kutahamaki, kigoli Nandi akalila pilau lote.....
Sijasikia tu mbadala wa Komando Jide...
Shubaaamit!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Jide komandooo kweli hakuna
Wakupambana nae pale

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
hao wote waliingizwa mkenge na sugu, mwenzao akamalizana na clouds wakabaki wenyewe hawaelewi pa kuanzia, gud for him
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Jide nae walishayamaliza tangu kesi yake na Ruge ilivyoisha na akaruhusu nyimbo zake zipigwe, clouds wao wakasema zitapigwa ila mpaka azilete studio kitu ambacho sidhani Jide atafanya kwenda
Jide hawez kufanya huo upuuz

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Back
Top Bottom