Babake au babu yake utakuta anamiaka 70 lakin analima na kifo tu ndo kitampumzisha na hata mara 1 haja wahi mwambia baba ama babu pumzika kakalia kuimbaimba tu hatahavumi...kila siku ye mpya kwenye game!!!Msanii wa rnb Rama Dee wakati akihojiwa kwenye kikaangoni eatv, ametoa ushauri kwa Lowassa juu ya uhusikaji wake kwenye siasa,
"Lowasa anapaswa apumzike awaachie watu wafanye Nazi, kwa kawaida wazee wetu wakifika miaka 55 au 60 ni umri wa kupumzika"
Nawe tafuta...Kutoka kuitwa Fisadi Papa mpaka Mzee Wa watu aka Rais Wa mioyo jamani Kweli PESA Mwanaharamu
Natafuta nataka kugombea urais kupitia UKAWA 2020 Nina Bilioni 15Nawe tafuta...
Kutoka kuitwa Fisadi Papa mpaka Mzee Wa watu aka Rais Wa mioyo jamani Kweli PESA Mwanaharamu
Mange kasema, Bavicha gani wa kubishaCcm wameshakula na hela za rambi rambi Arusha eti wametumia milioni 190 kwa sherehe na wafiwa wamepewa milioni 3 each
Haaaa haaaa haaaa mkuu umenifurahisha eti kipara ngotoImebidi nishangae ,huyo Lowasa yupo kimya kabisa mzee wa watu wala haonekani kwenye media ,sasa kawazuia vipi watu kufanya kazi?
Huyu Ramadee naona anatafuta kiki anajua akimtaja Lowasa watu watamdiscus tofauti angemtaja kipara ngoto
Mhhh Lowasa mzee wa watu yupo kimya kabisa but bado ni shiida
Kutoka kuitwa Fisadi Papa mpaka Mzee Wa watu aka Rais Wa mioyo jamani Kweli PESA Mwanaharamu
Mange kasema, Bavicha gani wa kubishaCcm wameshakula na hela za rambi rambi Arusha eti wametumia milioni 190 kwa sherehe na wafiwa wamepewa milioni 3 each
Mange kasema, Bavicha gani wa kubisha