Rama Dee: "Lowasa anapaswa apumzike awaachie watu wafanye kazi"

Rama Dee: "Lowasa anapaswa apumzike awaachie watu wafanye kazi"

six packs

Member
Joined
Dec 23, 2015
Posts
62
Reaction score
203
Msanii wa rnb Rama Dee wakati akihojiwa kwenye kikaangoni eatv, ametoa ushauri kwa Lowassa juu ya uhusikaji wake kwenye siasa,

"Lowasa anapaswa apumzike awaachie watu wafanye Nazi, kwa kawaida wazee wetu wakifika miaka 55 au 60 ni umri wa kupumzika"
 
Kumbe Rama Dee yupo.... Taarifa za mwisho kumskia niliskia aliolewa na mzungu Jackton
 
Imebidi nishangae ,huyo Lowasa yupo kimya kabisa mzee wa watu wala haonekani kwenye media ,sasa kawazuia vipi watu kufanya kazi?

Huyu Ramadee naona anatafuta kiki anajua akimtaja Lowasa watu watamdiscus tofauti angemtaja kipara ngoto
 
Imebidi nishangae ,huyo Lowasa yupo kimya kabisa mzee wa watu wala haonekani kwenye media ,sasa kawazuia vipi watu kufanya kazi?

Huyu Ramadee naona anatafuta kiki anajua akimtaja Lowasa watu watamdiscus tofauti angemtaja kipara ngoto
Kwani nani anayewalipa watukanaji?
 
Pumba hizi,Trump ana miaka mingapi,Raila je,Mugabe,Museven...na wengine wengi.
 
huyu Rama Dee sijui kawaje anaropokwa sana siku hizi ebu mwache baba wa watu
 
Imebidi nishangae ,huyo Lowasa yupo kimya kabisa mzee wa watu wala haonekani kwenye media ,sasa kawazuia vipi watu kufanya kazi?

Huyu Ramadee naona anatafuta kiki anajua akimtaja Lowasa watu watamdiscus tofauti angemtaja kipara ngoto
Nimeipenda Kipara Ngoto.
 
Huyu naye Bangi zimempanda kichwani. Hana lolote.

Lowassa amemzuia nani kufanya kazi?
 
MABADILIKOOOOOOOOOOOO...LOWASSAAAAAAAAAAAAAA MABADILIKOOOOOOOOOOOOOO
 
Rama D,mmoja ya kipaji adimu kabsa cha RnB Tanzania,,mmoja ya msanii mwenye Melody kali kabsaa,,,anajua kuimba,anajua kuandika ila havumi kabsaaaa daaah sijui kwa nn yan
 
Rama D,mmoja ya kipaji adimu kabsa cha RnB Tanzania,,mmoja ya msanii mwenye Melody kali kabsaa,,,anajua kuimba,anajua kuandika ila havumi kabsaaaa daaah sijui kwa nn yan
Hana nyota, sasa naona anaitafuta kwa nguvu
 
Rama D,mmoja ya kipaji adimu kabsa cha RnB Tanzania,,mmoja ya msanii mwenye Melody kali kabsaa,,,anajua kuimba,anajua kuandika ila havumi kabsaaaa daaah sijui kwa nn yan
Anapenda kutukana wakubwa ndio maana hafanikiwi.Alimtukana Ruge japo kwa Lowassa kaongea ukweli.
 
Back
Top Bottom