Rama Mbwaduke ni shujaa asiyeimbwa

Rama Mbwaduke ni shujaa asiyeimbwa

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001


Bongo tuna wachambuzi wengi na wengine maarufu sana. Wachambuzi wengi maarufu ni wa kawaida sana wanasimulia hadithi badala ya kuchambua. Wanaeleza matukio ambayo hata mimi mtu wa kawaida kwenye tasnia nayajua.

Lakini kuna mwamba Ramadhani Mbwaduke, huyu ni shujaa asiyeimbwa. Huyu sasa ndio mchambuzi raha sana kumsikiliza kwa sababu anakupa vitu usivyojua.

Hapa bado hajakupa takwimu. Huwa nafikiria kama akili yake ya kukariri takwimu angeitumia kwenye mambo mengine angefika wapi?

Binafsi hutazama kipindi cha Sport AM cha Binzubeir kwa ajili ya kumsikiliza Bwaduke tu.

Binzubeir kama unanisoma humu, kesho kwenye kipindi cha Sport AM mwambie Mbwaduke namkubali sana. Ni shujaa asiyeimbwa
 


Bongo tuna wachambuzi wengi na wengine maarufu sana. Wachambuzi wengi maarufu ni wa kawaida sana wanasimulia hadithi badala ya kuchambua. Wanaeleza matukio ambayo hata mimi mtu wa kawaida kwenye tasnia nayajua.

Lakini kuna mwamba Ramadhani Mbwaduke, huyu ni shujaa asiyeimbwa. Huyu sasa ndio mchambuzi raha sana kumsikiliza kwa sababu anakupa vitu usivyojua.

Hapa bado hajakupa takwimu. Huwa nafikiria kama akili yake ya kukariri takwimu angeitumia kwenye mambo mengine angefika wapi?

Binafsi hutazama kipindi cha Sport AM cha Binzubeir kwa ajili ya kumsikiliza Bwaduke tu.

Binzubeir kama unanisoma humu, kesho kwenye kipindi cha Sport AM mwambie Mbwaduke namkubali sana. Ni shujaa asiyeimbwa

Isee kumbe tunashea mtazamo.
Namkubali sana huyu dingilai.
Toka kipindi anaanza sports am unaona kabisa ubora wake. Anaitendea kazi vema kabisa.
 
Unajipigia promo
Siku ukibahatika kuangalia kipindi Cha Sport AM utakubaliana na mtoa mada. Jamaa sio takwimu tu, hata mathematically yuko vizuri pia.

Yaani kukuambia tu kua msimu wa 2019/2020 Simba alimaliza na points labda 76 anaweza akaona haitoshi, akakupa na %ge kabisa hizo points ni asilimia ngapi ya points zote kama angeshinda mechi zote.

Kuchukua magoli aliyofunga labda Kagere ni % ngapi ya magoli yote ya Simba msimu huo ni hesabu ndogo sana kwake kwa kichwa. Au magoli ya Simba ni % ngapi ya magoli ya ligi nzima ni hesabu ya sekunde tu.

Akikuchambulia performance ya Yanga ya msimu labda 2018/2019 unaweza kusema labda anashindaga muda wote akikariri huo msimu tu. Utakachokuja kushangaa ni pale atakapokupa data za hata misimu minne mbele yake au nyuma yake, na ya timu mbalimbali, sio hiyo Yanga tu.
 


Bongo tuna wachambuzi wengi na wengine maarufu sana. Wachambuzi wengi maarufu ni wa kawaida sana wanasimulia hadithi badala ya kuchambua. Wanaeleza matukio ambayo hata mimi mtu wa kawaida kwenye tasnia nayajua.

Lakini kuna mwamba Ramadhani Mbwaduke, huyu ni shujaa asiyeimbwa. Huyu sasa ndio mchambuzi raha sana kumsikiliza kwa sababu anakupa vitu usivyojua.

Hapa bado hajakupa takwimu. Huwa nafikiria kama akili yake ya kukariri takwimu angeitumia kwenye mambo mengine angefika wapi?

Binafsi hutazama kipindi cha Sport AM cha Binzubeir kwa ajili ya kumsikiliza Bwaduke tu.

Binzubeir kama unanisoma humu, kesho kwenye kipindi cha Sport AM mwambie Mbwaduke namkubali sana. Ni shujaa asiyeimbwa
Kwa nini usikubaliane na Mimi kwamba Mbwaduke na Kiemba ndo Wachambuzi pekee Tanzania wengine ni Vichwa-mbuzi? Maana hao wengine huwa wanachambua nini labda zaidi ya kupiga kelele na hadithi kama za Chitemo?
 


Bongo tuna wachambuzi wengi na wengine maarufu sana. Wachambuzi wengi maarufu ni wa kawaida sana wanasimulia hadithi badala ya kuchambua. Wanaeleza matukio ambayo hata mimi mtu wa kawaida kwenye tasnia nayajua.

Lakini kuna mwamba Ramadhani Mbwaduke, huyu ni shujaa asiyeimbwa. Huyu sasa ndio mchambuzi raha sana kumsikiliza kwa sababu anakupa vitu usivyojua.

Hapa bado hajakupa takwimu. Huwa nafikiria kama akili yake ya kukariri takwimu angeitumia kwenye mambo mengine angefika wapi?

Binafsi hutazama kipindi cha Sport AM cha Binzubeir kwa ajili ya kumsikiliza Bwaduke tu.

Binzubeir kama unanisoma humu, kesho kwenye kipindi cha Sport AM mwambie Mbwaduke namkubali sana. Ni shujaa asiyeimbwa

Nadhani ni Mbwaduke, Kiemba na Ibrahim Kasuga
 
Kwa nini usikubaliane na Mimi kwamba Mbwaduke na Kiemba ndo Wachambuzi pekee Tanzania wengine ni Vichwa-mbuzi? Maana hao wengine huwa wanachambua nini labda zaidi ya kupiga kelele na hadithi kama za Chitemo?
Ambangile unamwachaje
 
Huyu ni mtaalumu wa hesabu pia, advance alisoma PGM hivyo ana uwezo mkubwa wa IQ ndio maana anakalili na kukokotoa takwimu mbalimbali kwa kichwa na kwa wepesi kuliko hao wengine wazee wa "hakuna kusoma kufaulu lazima = HKL".
 


Bongo tuna wachambuzi wengi na wengine maarufu sana. Wachambuzi wengi maarufu ni wa kawaida sana wanasimulia hadithi badala ya kuchambua. Wanaeleza matukio ambayo hata mimi mtu wa kawaida kwenye tasnia nayajua.

Lakini kuna mwamba Ramadhani Mbwaduke, huyu ni shujaa asiyeimbwa. Huyu sasa ndio mchambuzi raha sana kumsikiliza kwa sababu anakupa vitu usivyojua.

Hapa bado hajakupa takwimu. Huwa nafikiria kama akili yake ya kukariri takwimu angeitumia kwenye mambo mengine angefika wapi?

Binafsi hutazama kipindi cha Sport AM cha Binzubeir kwa ajili ya kumsikiliza Bwaduke tu.

Binzubeir kama unanisoma humu, kesho kwenye kipindi cha Sport AM mwambie Mbwaduke namkubali sana. Ni shujaa asiyeimbwa

Anapatina redio gani na mie nimfatilie
 
Tanzania mchambuzi ni mmoja tu Dr Rick Abdullah basi.

Na msimuliaji alikuwa ni mmoja tu Mwalimu Kashasha basi.
Huyu wa kwanza simfahamu.

Ila kama wamzungumzia "Dr" Licky Abdallah huyu jamaa wa mambo ya Tourism basi kwenye upande wa takwimu bado akasome ili ashindane na Mbwaduke.
 
Huyu wa kwanza simfahamu.

Ila kama wamzungumzia "Dr" Licky Abdallah huyu jamaa wa mambo ya Tourism basi kwenye upande wa takwimu bado akasome ili ashindane na Mbwaduke.
Huwezi kumfahamu, Mimi namzungumzia Dr Ricky wa hunting company na TAHOA.

Huyu siyo chawa wa team yoyote Tanzania na hafanyi uchambuzi kutafuta pesa ys kula, tayari mpunga anao.
 
Huyu jamaa ANAJUA....

Komredi Mbwaduke ni zaidi ya mchambuzi mahiri......

Huyu ni mwanatakwimu haswa....

Komredi Mbwaduke hachoshi kumsikiliza [emoji106]

Kongole kwake na Mwenyezi Mungu azidi kumhifadhi na kumpa nguvu na maarifa zaidi ,aaaamin aaaamin [emoji120]

#SiempreJMT[emoji120]
 


Bongo tuna wachambuzi wengi na wengine maarufu sana. Wachambuzi wengi maarufu ni wa kawaida sana wanasimulia hadithi badala ya kuchambua. Wanaeleza matukio ambayo hata mimi mtu wa kawaida kwenye tasnia nayajua.

Lakini kuna mwamba Ramadhani Mbwaduke, huyu ni shujaa asiyeimbwa. Huyu sasa ndio mchambuzi raha sana kumsikiliza kwa sababu anakupa vitu usivyojua.

Hapa bado hajakupa takwimu. Huwa nafikiria kama akili yake ya kukariri takwimu angeitumia kwenye mambo mengine angefika wapi?

Binafsi hutazama kipindi cha Sport AM cha Binzubeir kwa ajili ya kumsikiliza Bwaduke tu.

Binzubeir kama unanisoma humu, kesho kwenye kipindi cha Sport AM mwambie Mbwaduke namkubali sana. Ni shujaa asiyeimbwa
[emoji106][emoji2956][emoji2956][emoji7]
 
Back
Top Bottom