Ramadhan brothers ni viumbe wa kutisha! Show zao ni jasho na damu ! Sioni kama tumewachukulia serious!

Ramadhan brothers ni viumbe wa kutisha! Show zao ni jasho na damu ! Sioni kama tumewachukulia serious!

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Kama una moyo mwepesi huwezi kuangalia show yao mpaka mwisho, kama kuna talent za kutisha basi hii talent ya hawa vijana ni ni ya kutisha mno.

Wanaenda kuweka historia Duniani, kama Dunia haitaendekeza ubaguzi Basi Hawa jamaa hawana mpinzani kote duniani, Serikali iangalie upya namna ya kuwafanya vijana Hawa sehemu ya kuitangaza nchi yetu kwa kuwawekea mazingira mazuri.
 
Serikali inapaswa iwe na priorities kwenye michezo na burudani. Ijikite kuwekeza kwenye michezo tuliyo na uwezo nao (vipaji) na siyo kuforce michezo ambayo hatuna talents hizo. RAMADHAN BROTHERS WAMETUTANGAZA SANA, SERIKALI IWAUNGE MKONO SANA.

Wenzetu Kenya na Ethiopia walishajua kwa asili ni wakimbiaji wazuri hivyo wmewekeza sana kwenye riadha badala ya football. Hali iko hivyo hivyo na kwa India (cricket), USA (basketball), n.k. SISI WAPUUZI TUNALAZIMISHA KUWEKEZA KWENYE SOKA TUSILOLIWEZA. Mbona tuna mabondia wazuri tu walioleta mikanda ya Africa na zaidi ya hapo, kwanini tusiwekeze kwenye michezo kama hiyo?
 
Kama una moyo mwepesi huwezi kuangalia show yao mpaka mwisho, kama kuna talent za kutisha basi hii talent ya hawa vijana ni ni ya kutisha mno.

Wanaenda kuweka historia Duniani, kama Dunia haitaendekeza ubaguzi Basi Hawa jamaa hawana mpinzani kote duniani, Serikali iangalie upya namna ya kuwafanya vijana Hawa sehemu ya kuitangaza nchi yetu kwa kuwawekea mazingira mazuri.
Tuko serious na siasa na wanasiasa wa chama chawala tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali inapaswa iwe na priorities kwenye michezo na burudani. Ijikite kuwekeza kwenye michezo tuliyo na uwezo nao (vipaji) na siyo kuforce michezo ambayo hatuna talents hizo. RAMADHAN BROTHERS WAMETUTANGAZA SANA, SERIKALI IWAUNGE MKONO SANA.

Wenzetu Kenya na Ethiopia walishajua kwa asili ni wakimbiaji wazuri hivyo wmewekeza sana kwenye riadha badala ya football. Hali iko hivyo hivyo na kwa India (cricket), USA (basketball), n.k. SISI WAPUUZI TUNALAZIMISHA KUWEKEZA KWENYE SOKA TUSILOLIWEZA. Mbona tuna mabondia wazuri tu walioleta mikanda ya Africa na zaidi ya hapo, kwanini tusiwekeze kwenye michezo kama hiyo?

Kuna mchezo wa ufisadi na fix?
 
Kila mtu kwa kipaji anapambana.

Lakini kwa sababu unachukulia simple unaona ni jambo dogo tu. Kumbe behind the scene, watu wanapambana. Watu wanaumia, watu wanapoteza vingi, ila wewe kwa macho yako unaona ni jambo la kipuuzi tu.

Kipaji chao kipo mikononi mwao. Wanatakiwa kujipambania wenyewe.
 
Acheni wenge wamejipigania Sana kufika hapo,
Sasa mmeamka na miwasho et wataitangaza nchi, unazungumzia uchi gani??😳
 
Acheni wenge wamejipigania Sana kufika hapo,
Sasa mmeamka na miwasho et wataitangaza nchi, unazungumzia uchi gani??[emoji15]

Mzee kwani Messi aliinuliwa na Argentina au Barcelona ya uhispania?

Baada ya kupata umaarufu si alirudi nyumbani shida iko wapi
 
Watu wakishajipata ndo serikali inajitia kuweka mkono. Na nyie wazee wa buku saba mnaanzisha viharakati uchwara ili serikali ionekane ni sikivu.

Mimi ni mpenzi wa makala mbalimbali za michezo hapa bongo. Ukitoa football ambayo hatuiwezi, michezo mingine ambayo ni mingi na tuna uwezo nayo haipewi nguvu kabisa.

Tz imeshakua na wanariadha mahiri huko nyuma, mpaka leo wapo lakini riadha inahitahi support ila haipati.
 
Ccm inataka watu kama mwijaku na baba levo wakizidi sana charamila.
Hayo mambo ya kujisaidia Dunia mwachie Mzee January mpiga Dili mpaka sasa umeme unaratiba kama unyumba ndani ya ndoa
 
Back
Top Bottom