Ramadhan Hamis Ntunzwe azidi kuanika Madudu ya TRA. Amwangukia Rais Samia

TRA ni intarahamwe...Hao Commisioners na Manaibu wao wafumuliwe wote. Majambazi wahuni. Yaani Cartel kabisa
Njia nzuri ni kuonesha kiasi cha kodi na sio ukadiriaji hii itaondoa pia ishu za upigaji kutoka hao tra na gangs wenzao
 
Yaani huyu mtu hajalipwa hadi leo?
 
Yaani unapambana kwa nguvu zote alafu serikali na watu wachache wanakukwamisha bila sababu za msingi.
Wakati hata wao wangepata faida vilevile kutokana na huyo jamaa.

Sidhani kama nakosea kusema Serikali ndio kikwazo cha maendeleo kwa wananchi wake na maendeleo ya nchi kiujumla.
 
Maneno meeeeeeeeeeeeeeeengi
 
Mijitu kama hao utakuta inanenepeana kwa fedha za dhulma tu

Ova
 
Inasikitisha na kuhuzunisha sana.
Kupitia Jf nilisoma sakata la mdai dhidi ya TRA. Ukimsikiliza kwa makini utagundua anachoeleza ni ukweli tupu, tena yawezekana wapo wafanyabiashara wengi wali/ wanaofanyiwa unyanyasaji wa aina hiyo lakini hawajapata nafasi ya kuueleza Umma.
Jambo la kusikitisha ni namna anavyozungushwa kupata Haki yake licha ya viongozi wa juu Serikalini kuagiza alipwe stahiki zake.
Inaumiza
 
Mmh hii nchi ngumu sana .. Nami nina ishu yangu na mamlaka ya mapato ina miaka nane sasa ya sarakasi, vitimbwi, ahadi hewa, kuzungushwa nknk.. ikifanikiwa kwisha nitakuja hapa na full mkanda
Hao wanajiita tra wengi wao wanaishi/kupata pesa zao kwa dhuluma tu

Ova
 
Alafu kwenye kila mazungumzo yake habadilishi maelezo,jamaa ana kumbukumbu kali sana

Ova
 
Kama vipi nae aende TiaRa.A akafanye kama ya braza hamza(RIP)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…