Ramadhan imefika, Afande Sele hajafa

Ramadhan imefika, Afande Sele hajafa

Distant Relatives

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2020
Posts
415
Reaction score
731
Niseme wazi Mimi ni Muislam wa kuzaliwa, pia nimekua katika malezi ya dini mchanganyiko.

Kisa cha Afande Sele kumuhoji Mungu baada ya kifo cha JPM kinajulikana. Pia, yupo sheikh mmoja maarufu, Kishki alisoma dua kuwa afande afariki kabla ya kuanza mfungo Ramadhani. Lakini hadi sasa hajafa.

Hii tafsiri yake nini?
Dua ya kishki ni batili? Mungu hajaipokea? Au Mungu hatendi mambo tumfikiriavyo sisi wanadamu?
 
Mods, naomba nitangulize maneno haya, hakuna lengo la kukashifu dini, bali ni kujadili tu.


Niseme wazi Mimi ni Muislam wa kuzaliwa, pia nimekua katika malezi ya dini mchanganyiko.

Kisa cha Afande Sele kumuhoji Mungu baada ya kifo cha JPM kinajulikana. Pia, yupo sheikh mmoja maarufu, Kishki alisoma dua kuwa afande afariki kabla ya kuanza mfungo Ramadhani. Lakini hadi sasa hajafa.

Hii tafsiri yake nini?
Dua ya kishki ni batili? Mungu hajaipokea? Au Mungu hatendi mambo tumfikiriavyo sisi wanadamu?
Aya ya mwisho ndo jibu sahihi
 
Tangu lini Mungu (Mwenyezi, Muweza) akapiganiwa na viumbe dhaifu kama binadamu (Wachungaji, Mashehe mitume na wengine).

Mungu huwa anajipigania mwenyewe.
Binadamu huwezi! Sasa unakuta mtu ni msinifu, mwizi, fisadi, beberu eti na yeye anamlaani Afande Sele.

Kikubwa nikumuombea ajue makosa yake atubu!
 
Niseme wazi Mimi ni Muislam wa kuzaliwa, pia nimekua katika malezi ya dini mchanganyiko.

Kisa cha Afande Sele kumuhoji Mungu baada ya kifo cha JPM kinajulikana. Pia, yupo sheikh mmoja maarufu, Kishki alisoma dua kuwa afande afariki kabla ya kuanza mfungo Ramadhani. Lakini hadi sasa hajafa.

Hii tafsiri yake nini?
Dua ya kishki ni batili? Mungu hajaipokea? Au Mungu hatendi mambo tumfikiriavyo sisi wanadamu?
Alitubu kwa Mungu,ukiomba msamaha,Mungu anakusamehe.
 

Halafu msikilize Afande Sele akilia Kizezeta, baada ya kunogewa na Propaganda za ccm.
 
Afande Sele anataka kuturudisha kwa AMEN RA Sun god
 
Niseme wazi Mimi ni Muislam wa kuzaliwa, pia nimekua katika malezi ya dini mchanganyiko.

Kisa cha Afande Sele kumuhoji Mungu baada ya kifo cha JPM kinajulikana. Pia, yupo sheikh mmoja maarufu, Kishki alisoma dua kuwa afande afariki kabla ya kuanza mfungo Ramadhani. Lakini hadi sasa hajafa.

Hii tafsiri yake nini?
Dua ya kishki ni batili? Mungu hajaipokea? Au Mungu hatendi mambo tumfikiriavyo sisi wanadamu?
Mi nadhani huyo Sheikh tumdai fidia, hawezi kutudanganya kiasi hiki.

Alaf Mungu alivyo na maajabu unaweza kushangaa huyo Sheikh anatangulia kufa Afande Sele anabaki anakula bata na kula kijiti
 
Ukitaka kuwa mpagani basi muombe Mungu halafu mpe deadline!

Ndiyo maana watu waliamua kuja na misemo kama,"Mungu hujibu kwa muda wake".
 
Back
Top Bottom