Ramadhan Kabwili: “Simba walinifuata, nitafute kadi ya njano, wanipe IST mpya”

Ramadhan Kabwili: “Simba walinifuata, nitafute kadi ya njano, wanipe IST mpya”

Hili suala ni kubwa sana nashangaa watu hapa wanalijadili kiushabiki. TAKUKURU wafanye uchunguzi ushahidi ukipatikana watuhumuiwa wafikishwe mahakamani. Na ikithibitika dogo alikuwa anatafuta kiki kwa kuizushia tuhuma za uongo taasisi kubwa kama Simba Sports Club na yeye afikishwe mahakamani kwa kuidhalilisha taasisi kubwa yenye wafuasi takribani nusu ya watanzania (wachezaji+viongozi+wananchama+mashabiki n.k)

Tukiacha hili jambo lipite hivi hivi bila mtu kuwajibishwa hatutapata ukweli. Na kama kweli rushwa ilitaka kutolewa itaendelea kutolewa au kama ni uzushi mwingine tena atazusha tena kitu kingine siku nyingine.

Ndio maana naona umuhimu sana wa TAKUKURU au vyombo vingine vya dola kuchukua hatua ili hili jambo ukweli wake ujulikane na kwa kuwa mtoa tuhuma yupo na mpaka sasa sijamuona kwenye media yeyoye aidha akikanusha kauli yake au akisema kuwa alitania tu au akisema alikuwa amelewa maana yake alidhamiria bila shaka yoyote na ana ushahidi wa kutosha.
 
Wanaompenda wamemshauri aombe msamaha,ila ni too late
Dogo ana ushahidi wa text msg,hao mikia labda ndio wanaomshawishi aombe msamaha ili lipite,hii tabia mikia mnayo kitambo sana,kuna mwingine huko kaibuka ana video kabisa mkiwahonga kina manula na nyoni ili muifunge azam wakati wakiwa azam,na bado kuna wachezaji kibao wa vpl wana ushahidi dhidi yenu
 

Attachments

  • Screenshot_20200127-234205_Instagram.jpg
    Screenshot_20200127-234205_Instagram.jpg
    90.3 KB · Views: 1
  • Screenshot_20200127-233126_Instagram.jpg
    Screenshot_20200127-233126_Instagram.jpg
    62.2 KB · Views: 1
Dogo ana ushahidi wa text msg,hao mikia labda ndio wanaomshawishi aombe msamaha ili lipite,hii tabia mikia mnayo kitambo sana,kuna mwingine huko kaibuka ana video kabisa mkiwahonga kina manula na nyoni ili muifunge azam wakati wakiwa azam,na bado kuna wachezaji kibao wa vpl wana ushahidi dhidi yenu
Hiyo text namba, simu imesajiriwa kwa jina SIMBA SC au unadhana ushahidi wa sms ni wa hivi hivi. Meseji hata wewe unaweza kumtumia tu achen undezi
 
Sisi Yanga inabidi tumuhoji huyu dogo, kumbe aliahidiwa gari ndo mana akatufungisha kirahisi goli la Kagere. Hivi mshabiki mwenzetu Jimy kindoki atajisikiaje kwamba alitaka kupoteza mke wake kisa Kabwili kuahidiwa gari na Simba.
Hili viongozi wa Yanga tusiliache tu, mana ile mechi pia ilikua inaamua ubingwa. Inawezekana lisingekua lile goli alilotufungisha Kabwili tungechukua ubingwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Tutakaa na mchezaji wetu Ramadhani Kabwili
ili atupe taarifa rasmi juu ya tuhuma za Rushwa
alizozitoa dhidi ya Simba,hizi sio tuhuma za
mara ya kwanza kwa Simba,zimewahi
kuripotiwa huko nyuma (rejea matukio ya
wachezaji wa Azam,pia tukio la Ulimboka
Mwakingwe),tutamuunga mkono kabwili ili
kuruhusu uchunguzi huru ufanyike lengo likiwa
ni kutokomeza tabia hii"
Hassan Bumbuli (Afisa Habari Yanga)
 
Hii kesi inaweza ikambadilikia dogo iwapo atashindwa. Simba wanaweza kulazimisha wapelekwe mahakamani ili wakashtakiwe, na ili dogo awe salama lazima athibiishe na kisha ashinde kesi. Akishindwa analipishwa gharama za kuendesha kesi. Na wazee wa CEO watafremu gharama za ajabu ajabu hadi dogo auze kila kitu
 
Mpira wa bongo una madudu mengi mbaya zaidi hata mashabiki nao ni wa hivyo hivyo tu sometimes hua na angalia mpira unaona rough za kijinga kabisa amabazo kwa referee anayejua wajibu wake angetoa red card lkn referees wetu sijui wana soma wapi, ujinga mwingi sio Yanga sio Simba ujinga tupu . Me naona chanzo cha yote haya ni CCM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simba inaongoza kwa viongozi wake kukabikliwa na tuhuma za rushwa. Baadhi ya tuhuma zimefika kortini na kuwa mashitaka. Rage alisafishwa na mahakama kuu kwa kosa la kiundi.

Utafika muda yatawekwa wazi. Matokeo ya mechi za ugenini (nje ya nchi) wanakoshindwa kununua wachezaji au ma refa ni ushahidi tosha.
 
Wito wangu kwa wapenda mpira wa miguu na michezo yote kwa ujumla tuungane katika mapambano juu ya rushwa katika michezo bila kujali mapenzi yetu kwenye hizi timu zetu mbili pendwa Simba na Yanga. Tuhuma alizotoa Kabwili zifanyiwe kazi na vyombo vya dola na walio na ushahidi wavisaidie ili hili suala sheria ichukue mkondo wake. Ikithibitika viongozi wa Simba walijaribu kweli kumhonga Kabwili washtakiwe bila kupepesa na vinginevyo ikithibitika Kabwili alizusha basi na yeye ashtakiwe ili alipie gharama za uzushi.
 
kaongea ukweli mtupu...kipa wa Mbao alipewa pesa Kirumba mkashinda 3-2 akafukuzwa kwenye timu bahati ni mwalimu anafundisha shule...walivyomshindwa Kabwili wakawapa hela Kevin,Dante na Gadiel....sasa hivi kuna chapa GSM na Taifa gas haongeki mtu
Subiri mechi ya simba na yanga azam cup itachezwa nusu fainali au mapema tuwashikishe adabu ,tunataka tuongeze malalamiko
Simba inaongoza kwa viongozi wake kukabikliwa na tuhuma za rushwa. Baadhi ya tuhuma zimefika kortini na kuwa mashitaka. Rage alisafishwa na mahakama kuu kwa kosa la kiundi.

Utafika muda yatawekwa wazi. Matokeo ya mechi za ugenini (nje ya nchi) wanakoshindwa kununua wachezaji au ma refa ni ushahidi tosha.
Malalamiko fc mpo mwaka wa tatu huu bado saba ndio mkakati ,simba nguvu moja
 
serikali inatakiwa iingilie kati haraka sana na kulifutilia mbali na hili genge la mijizi linalojulikana kama simba sport club, ndiyo maana mpira wetu Tz hauendelei, eti 'mwekezaji wao' katumia bilioni 4 kwa ajili ya simba, kumbe amezzitumia kuhonga na kununua tim pinzani na marefa pambaf kabisaa, sijui kwa nini wale jamaa wangemmalizaa tusingekuwa na keroo hiii leo...
 
Back
Top Bottom