Subiri msimu uishe.Subiri mechi ya simba na yanga azam cup itachezwa nusu fainali au mapema tuwashikishe adabu ,tunataka tuongeze malalamiko
Malalamiko fc mpo mwaka wa tatu huu bado saba ndio mkakati ,simba nguvu moja
eti mwekezaji , wakati ni li mwizi tuu lililokuja kuharibu soka la TZ kwa kuhonga honga tim pinzan, marefa, tff na wasaka tonge wengine huku TAKUKURU wakiwa wamelala usingizi wa pono……….pambaaafuuu kabisaa!Subiri msimu uishe.
Kununua mechi mwisho baada ya tuhuma za Kabwili. Hicho kitu kipo well documented na safari hii Mo anaondoka kweli tena kwa aibu kubwa.
We subiri tu kifikishwe TAKUKURU hadi akimbie nchieti mwekezaji , wakati ni li mwizi tuu lilikuja kuharibu soka la TZ kwa kuhonga honga tim pinzan, marefa, tff na wasaka tonge wengine huku TAKUKURU wakiwa wamelala usingizi wa pono……….pambaaafuuu kabisaa!
simba walivyo walivyo wazee wa fitna issue hii haiwezi fika kwenye dawati la TAKUKURU, yaani itapigwa teke adi ipoteeWe subiri tu kifikishwe TAKUKURU hadi akimbie nchi
hiyo kesi itafukiwa tu ni kweli simba walitaka kumuhonga, simba ndio mchezo wao huo wanajulikana,Hii kesi inaweza ikambadilikia dogo iwapo atashindwa. Simba wanaweza kulazimisha wapelekwe mahakamani ili wakashtakiwe, na ili dogo awe salama lazima athibiishe na kisha ashinde kesi. Akishindwa analipishwa gharama za kuendesha kesi. Na wazee wa CEO watafremu gharama za ajabu ajabu hadi dogo auze kila kitu
Kwahiyo hizo mbili za awali alizozipata alihongwa na team gani?”Simba walinifuata, nitafute kadi ya njano,
wanipe IST mpya”, hayo ni maneno ya mlinda
mlango wa klabu ya Yanga, Ramadhan Kabwili
ambapo amesema kuwa uongozi wa Klabu ya
Simba umewahi kumlaghai ukimtaka atafute
kadi ili asiweze kucheza katika mchezo wa
watani wa jadi na kimuahidi akifanya hivyo
kumpatia garia iana ya IST.
Mlinda mlango huyo amesema hayo wakati
akifanya mahojiano na EATV Radio katika
kipindi cha Kipenga Extra mapema leo
Jumatatu ya tarehe 27, 2020.
“Simba waliwahi kunifuata kipindi tupo na
kocha Zahera, nilikuwa na kadi 2 za njano na
kwenye mchezo wa Yanga na JKT Tanzania,
walitaka nitafute kadi ya njano makusudi ili
wanipe gari ya IST mpya na nikose mchezo
ujao wa watani” – Ramadhan Kabwili.
Amesema kuwa tukio hilo lilitokea kipindi
ambacho Zahera akiwa kocha wa klabu hiyo ya
Yanga.
Amesema kuwa siku hiyo Yanga ilikuwa
inaelekea kucheza na JKT Tanzania na yeye
alikuwa na kadi mbili za njano, hivyo Simba
walimfuata na kumuambia kuwa atafute kadi
moja ya njano ili akose mchezo uliokuwa
unafuatia wa watani wa jadi huku wakimuahidi
kumpa IST mpya, wakiamini kuwa angekaa
Klaus Kindoki golini wangemfunga kirahisi.
Katika mchezo huo dhidi ya JKT Tanzania,
Yanga ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0 ambapo
Ramadhan Kabwili ndiye alikuwa golikipa wa
Yanga siku hiyo.
Aidha Kabwili amesema kuwa kwa sasa ahitaji
meneja yoyote atakayemtafutia timu ya
Tanzania akitamani meneja ambaye atamtafutia
timu Ulaya, “mimi nataka meneja ambaye
atanipeleka kucheza soka la Ulaya, sitaki
meneja wa kunichezesha hapa nchini kwa
sababu kama ni hapa nchini sasa hivi nipo
katika klabu kubwa Tanzania na inashinda
mataji”.
Pia Rejea..
Ulimboka adakwa kwa kutaka kumhonga Kado
Waandishi Wetu, Dar na Morogoro MSHAMBULIAJI wa zamani wa Simba, Ulimboka Mwakingwe amekamatwa na polisi mkoani Morogoro akihusishwa na njama za kuhujumu mchezo wa Ligi Kuu baina ya Simba na Mtibwa uliopangwa kufanyika leo kwenye Uwanja wa Jamhuri.Mshambuliaji huyo aliyetemwa na mabingwa...www.jamiiforums.com
Source : Dar24
Kiini sio yeye kufungwa bali akae lile Pazia Kindoki ili mumfunge nyingi,ushaelewa wewe Mbumbumbu?Kwahiyo hizo mbili za awali alizozipata alihongwa na team gani?
Huyu dogo kuna tetesi za chinichini kuwa analiwa....tena hizi habari zilifumuka kipindi yupo kule ngorongoro heroes inasemekana kuna jamaa anakula
Kwa Simba siyo story”Simba walinifuata, nitafute kadi ya njano,
wanipe IST mpya”, hayo ni maneno ya mlinda
mlango wa klabu ya Yanga, Ramadhan Kabwili
ambapo amesema kuwa uongozi wa Klabu ya
Simba umewahi kumlaghai ukimtaka atafute
kadi ili asiweze kucheza katika mchezo wa
watani wa jadi na kimuahidi akifanya hivyo
kumpatia garia iana ya IST.
Mlinda mlango huyo amesema hayo wakati
akifanya mahojiano na EATV Radio katika
kipindi cha Kipenga Extra mapema leo
Jumatatu ya tarehe 27, 2020.
“Simba waliwahi kunifuata kipindi tupo na
kocha Zahera, nilikuwa na kadi 2 za njano na
kwenye mchezo wa Yanga na JKT Tanzania,
walitaka nitafute kadi ya njano makusudi ili
wanipe gari ya IST mpya na nikose mchezo
ujao wa watani” – Ramadhan Kabwili.
Amesema kuwa tukio hilo lilitokea kipindi
ambacho Zahera akiwa kocha wa klabu hiyo ya
Yanga.
Amesema kuwa siku hiyo Yanga ilikuwa
inaelekea kucheza na JKT Tanzania na yeye
alikuwa na kadi mbili za njano, hivyo Simba
walimfuata na kumuambia kuwa atafute kadi
moja ya njano ili akose mchezo uliokuwa
unafuatia wa watani wa jadi huku wakimuahidi
kumpa IST mpya, wakiamini kuwa angekaa
Klaus Kindoki golini wangemfunga kirahisi.
Katika mchezo huo dhidi ya JKT Tanzania,
Yanga ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0 ambapo
Ramadhan Kabwili ndiye alikuwa golikipa wa
Yanga siku hiyo.
Aidha Kabwili amesema kuwa kwa sasa ahitaji
meneja yoyote atakayemtafutia timu ya
Tanzania akitamani meneja ambaye atamtafutia
timu Ulaya, “mimi nataka meneja ambaye
atanipeleka kucheza soka la Ulaya, sitaki
meneja wa kunichezesha hapa nchini kwa
sababu kama ni hapa nchini sasa hivi nipo
katika klabu kubwa Tanzania na inashinda
mataji”.
Pia Rejea..
Ulimboka adakwa kwa kutaka kumhonga Kado
Waandishi Wetu, Dar na Morogoro MSHAMBULIAJI wa zamani wa Simba, Ulimboka Mwakingwe amekamatwa na polisi mkoani Morogoro akihusishwa na njama za kuhujumu mchezo wa Ligi Kuu baina ya Simba na Mtibwa uliopangwa kufanyika leo kwenye Uwanja wa Jamhuri.Mshambuliaji huyo aliyetemwa na mabingwa...www.jamiiforums.com
Source : Dar24
Mkuu hapa unajibu hoja au unaleta tuhuma zingine?Huyu dogo kuna tetesi za chinichini kuwa analiwa....tena hizi habari zilifumuka kipindi yupo kule ngorongoro heroes inasemekana kuna jamaa anakula
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao takukuru washapelekewa kesi kama hizi za kuwahusu mikia na rushwa michezoni na nsa job na shaban kado hadi ushahidi alikua nao wa pesa alizopelekewa na ulimboka mwakingwe ili aifungishe mtibwa,tena hii kesi ilifika hadi mahakamani morogoro lkn hata ilivyoisha isha,takukuru kwenye kana hizi uwaoni
Sent using Jamii Forums mobile app
dogo shogaKwahiyo hizo mbili za awali alizozipata alihongwa na team gani?
angekuwa anajinyea goliniHuyu dogo kuna tetesi za chinichini kuwa analiwa....tena hizi habari zilifumuka kipindi yupo kule ngorongoro heroes inasemekana kuna jamaa anakula
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingekuwa hivyo wale wanyenyua vyuma wangekuwa wanakunya jim mana wengi wao ni mchele
hivi kwanini hawa mbaunsa wengi wanakuwa mchelemcheleIngekuwa hivyo wale wanyenyua vyuma wangekuwa wanakunya jim mana wengi wao ni mchele
yameshamwagika.....Wanaompenda wamemshauri aombe msamaha,ila ni too late
”Simba walinifuata, nitafute kadi ya njano,
wanipe IST mpya”, hayo ni maneno ya mlinda
mlango wa klabu ya Yanga, Ramadhan Kabwili
ambapo amesema kuwa uongozi wa Klabu ya
Simba umewahi kumlaghai ukimtaka atafute
kadi ili asiweze kucheza katika mchezo wa
watani wa jadi na kimuahidi akifanya hivyo
kumpatia garia iana ya IST.
Mlinda mlango huyo amesema hayo wakati
akifanya mahojiano na EATV Radio katika
kipindi cha Kipenga Extra mapema leo
Jumatatu ya tarehe 27, 2020.
“Simba waliwahi kunifuata kipindi tupo na
kocha Zahera, nilikuwa na kadi 2 za njano na
kwenye mchezo wa Yanga na JKT Tanzania,
walitaka nitafute kadi ya njano makusudi ili
wanipe gari ya IST mpya na nikose mchezo
ujao wa watani” – Ramadhan Kabwili.
Amesema kuwa tukio hilo lilitokea kipindi
ambacho Zahera akiwa kocha wa klabu hiyo ya
Yanga.
Amesema kuwa siku hiyo Yanga ilikuwa
inaelekea kucheza na JKT Tanzania na yeye
alikuwa na kadi mbili za njano, hivyo Simba
walimfuata na kumuambia kuwa atafute kadi
moja ya njano ili akose mchezo uliokuwa
unafuatia wa watani wa jadi huku wakimuahidi
kumpa IST mpya, wakiamini kuwa angekaa
Klaus Kindoki golini wangemfunga kirahisi.
Katika mchezo huo dhidi ya JKT Tanzania,
Yanga ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0 ambapo
Ramadhan Kabwili ndiye alikuwa golikipa wa
Yanga siku hiyo.
Aidha Kabwili amesema kuwa kwa sasa ahitaji
meneja yoyote atakayemtafutia timu ya
Tanzania akitamani meneja ambaye atamtafutia
timu Ulaya, “mimi nataka meneja ambaye
atanipeleka kucheza soka la Ulaya, sitaki
meneja wa kunichezesha hapa nchini kwa
sababu kama ni hapa nchini sasa hivi nipo
katika klabu kubwa Tanzania na inashinda
mataji”.
Pia Rejea..
Ulimboka adakwa kwa kutaka kumhonga Kado
Waandishi Wetu, Dar na Morogoro MSHAMBULIAJI wa zamani wa Simba, Ulimboka Mwakingwe amekamatwa na polisi mkoani Morogoro akihusishwa na njama za kuhujumu mchezo wa Ligi Kuu baina ya Simba na Mtibwa uliopangwa kufanyika leo kwenye Uwanja wa Jamhuri.Mshambuliaji huyo aliyetemwa na mabingwa...www.jamiiforums.com
Source : Dar24