Sanchez magoli
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 4,055
- 8,540
Hahaha yani sasa hivi nasikia hata gadiel huwa anavuja kazi yake ni kubutua mbele tu wala hana hata ball control.Kwani Uongo Mtani. Mnasajili hadi Wahindi.
Namuona Mtani wangu Penison anaiongezea uzito na ile Post yake ya mwanzo. π π π π π
Tp Mazembe wamemsajili Eliud Ambokile kutoka Mbeya City wameonekana wajua kusajili ,wamemsajili Singano wameonekana wanajua sana lakini Simba waliomsajili Deo Kanda kutoka hapohapo Mazembe wameonekana ni mambumbumbu wa mwisho.Kwani Uongo Mtani. Mnasajili hadi Wahindi.
Namuona Mtani wangu Penison anaiongezea uzito na ile Post yake ya mwanzo. π π π π π
Kwani baba ako alikuita huo ujinga unaojiita kwenye avatar yako?Kwa nini mnamuita Messi? Si anajina lake Ramadhani Singano.
Natamani wnagemuona na Mohamed Ibrahim na Maecel Kaheza,humu kwetu tunaongoza kuua vipaji...All the best dogo washindwe nawalegee wote wanaokuombeaga mabaya!Haikuwa Bora? Wakati Simba walikula 4 pale Congo?
Juzi wamemuuza Meshack Elia Anderlect ya Belgium kwa pesa nzuri na ungejua walipomtoa usingeamini.
Singano wamemsaini miaka 5 , mwaka wa Kwanza atakuwa chini ya uangalia uangalizi maalumu kwasababu wanasema technical Yuko vizuri ila fitness ndo tatizo kidogo.
Messi Ana kipaji,Timu za Bongo zinaua vipajiHahahahahahahahah nimeshangaa sana TP mazembe walikuwa wanatoa mpaka Dola 20 000 kusajili mchezaji leo wanaokoteza tu
Simba ikiwa katika Ubora wa juu kabisa ilikula nne halafu unasema Mazembe haikuwa Bora?Mkuu Nina Mashaka sana na TP Mazembe maana hata timu ya mwaka huu iliocheza na Simba haikua Bora,na huu usajiri wao Kama wakubahatisha tuu
Soon anarudi Timu ya TaifaSingano mchezaji kuliko ata samata fitina tu zimemfikisha hapa
Mkuu kinachotia shaka ni Umri wa Deo Kanda....hivi unajua kuwa huyu ndiye jamaa aliyekuwa anamchezesha ndombolo Nsajigwa Taifa miaka kumi iliyopita! washabiki wajinga wa Simba wakawawanashangilia! Then kipindi cha pili Kocha wa Stars akamwingiza Chollo naye akachezeshwa mayenu! π πTp Mazembe wamemsajili Eliud Ambokile kutoka Mbeya City wameonekana wajua kusajili ,wamemsajili Singano wameonekana wanajua sana lakini Simba waliomsajili Deo Kanda kutoka hapohapo Mazembe wameonekana ni mambumbumbu wa mwisho.
Hilo litatokea Soon,Messi namba yake ipo Timu ya taifa atawaacha akina AjibHuyu huyu singano baadhi ya watu wanao mbeza leo utakuja kushanga mwakani katika kuwania Kuingia AFCON utasikia ana namba timu ya Taifa alafu ajibu ana sugua benchi
ajibu bhana,wenzake (eliud ambokile & singano)wanatoboa kimataifa yeye anatoboa kitaifa pale mitaa ya kariakooMashabiki wa ile timu walikua wanamwombea mabaya sana. Na alipotemwa Azam walifurahia kwelikweli.
Hongera Rama, acha kina Ajibu wakomae Bongo wakijipima uwezo wao na lipuli
Hahahahaa. Mtani hayo si maneno tu ya kunogesha Utani lakini.Hahaha yani sasa hivi nasikia hata gadiel huwa anavuja kazi yake ni kubutua mbele tu wala hana hata ball control.
Tatizo level mlizokuwa mmejiweka Mtani sasa mkichukua magarasa tunawashangaa.Tp Mazembe wamemsajili Eliud Ambokile kutoka Mbeya City wameonekana wajua kusajili ,wamemsajili Singano wameonekana wanajua sana lakini Simba waliomsajili Deo Kanda kutoka hapohapo Mazembe wameonekana ni mambumbumbu wa mwisho.
Hahahahahahahahah Singano ana miaka mingapi?? Kuna development ya mchezaji wa miaka 27 kwenye mpira.Mkuu kinachotia shaka ni Umri wa Deo Kanda....hivi unajua kuwa huyu ndiye jamaa aliyekuwa anamchezesha ndombolo Nsajigwa Taifa miaka kumi iliyopita! washabiki wajinga wa Simba wakawawanashangilia! Then kipindi cha pili Kocha wa Stars akamwingiza Chollo naye akachezeshwa mayenu! π π
Deo kanda ni kama Paul nonga wa CongoDeo Kanda Simba wamechemsha ameshuka kiwango hakuna mchezaji pale
Singano kasaini kandarasi ya miaka mitano mazembe kwahiyo hata asipofanya vizuri ana uhakika wa kula mshahara kwa miaka mitano, ni wachezaji wangapi simba na yanga wanamikataba ya miaka mitano?Hahahahahahahahah Singano ana miaka mingapi?? Kuna development ya mchezaji wa miaka 27 kwenye mpira.
Singano kasaini kandarasi ya miaka mitano mazembe kwahiyo hata asipofanya vizuri ana uhakika wa kula mshahara kwa miaka mitano, ni wachezaji wangapi simba na yanga wanamikataba ya miaka mitano?