Sanchez magoli
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 4,055
- 8,540
Hahaha yani sasa hivi nasikia hata gadiel huwa anavuja kazi yake ni kubutua mbele tu wala hana hata ball control.Kwani Uongo Mtani. Mnasajili hadi Wahindi.
Namuona Mtani wangu Penison anaiongezea uzito na ile Post yake ya mwanzo. π π π π π