Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,092
- 8,784
Asante mkuuKila la kheri wakuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuuKila la kheri wakuu
Mamiii, nimeanza kufanya shopinnnn kwa ajili yako[emoji8]Asante mkuu
Ndugu yangu katika imani, hapa umekosea, Swala ndio amali inayobeba amali zote baada ya kuamini kwa kutoa shahada, Muhimili mkuu wa matendo ni swala kama huswali, hukubaliwi sio tu swaumu hata hijja yako haikubaliwi.Mkuu sala haiondoi funga
Hizo ni ibada mbili tofauti
Ila inashauriwa ukifunga uswali maana utapata thawabu nyingi sana
Ila ukifunga na usiswali funga yako inakubalika kama kawaida cha muhimu uwe umetia nia na umejizuia na yale yote yanayotengua funga.
Na swala ndio nguzo kubwa ya dini jaman matendo yote yaenda na swalaNdugu yangu katika imani, hapa umekosea, Swala ndio amali inayobeba amali zote baada ya kuamini kwa kutoa shahada, Muhimili mkuu wa matendo ni swala kama huswali, hukubaliwi sio tu swaumu hata hijja yako haikubaliwi.
Ameen Ya Rabbil alameen!
itakuwa vyema pia ukitutafsiria wengine tumependa rangi ya picha tu