[emoji617]TAKBIIRA YA PAMOJA KATIKA SWALA YA EID
قال العلامة محمد بن صالح العثيمين رحمه الله
[emoji404]Amesema Al-allaamah Muhammad bin swaaleh Al-uthaymeen (rahimahullah)
أما التكبير الجماعي بصوت واحد فهذا ليس من السنة
Ima kuleta takbira kwa pamoja kwa sauti ya pamoja (katika swala ya eid) jambo hili sio katika sunna
بل كل واحدٍ يكبر وحده لنفسه هذا التكبير
Bali kila mmoja ataleta takbira peke yake kwa nafsi yake takbira hiyo
يسن للرجال أن يجهروا به وأما النساء فلا تجهر به لا في البيت ولا في السوق."
Inasuniwa kwa wanaume waidhihirihe kwa sauti ima kwa wanawake wala hawato idhihirisha takbira kwa sauti zao sio nyumbani kwao au masokoni."
❪[emoji432]❫ المصْــــدَرُ: ❪ابن عثيمين نور الشريط رقم (355❫.
══════ ❁✿❁ ══════
[emoji429] [emoji3578] Abou hudaa Al-jaziiriyyi حفظــــــــــه اللــــــــــه تعالــــــــــى ورعــــــــــاه[emoji433]
[emoji432]═══ AL-HUDAA DURUUSU ONLINE ═══[emoji432]
VUNA THAWABU KWA KUSAMBAZA KWA WENGINE[emoji108]
[emoji441]Kua muadilifu us'badili chochote[emoji95]
[emoji432]═══ AL-HUDAA DURUUSU ONLINE ═══[emoji432]