[emoji617]HUKMU YA YULE AMBAE HAKUIKAMILISHA TARAWEHE
سئل شيخ العلامة عبد العزيز بن باز رحمه الله
[emoji404]Aliulizwa imam Abdul Azizi bin baazi (rahimahullah)
ما أجر من لم يكمل مع الإمام التراويح؟
[emoji117]Swali: yapi malipo ya yule ambae hajaikamilisha swala ya tarawehe pamoja na imam?
فأجاب: له أجر ما صلى، ولا يكتب له قيام الليلة إلا إذا كمل مع الإمام حتى ينصرف الإمام، يكتب له قيام ليلة،
[emoji3514]Akajibu: atapata yeye malipo kwa zile rakaa alizo swali, na wala haandikiwi yeye kisimamo cha usiku mpaka atakapo ikamilisha tarawehe pamoja na imam mpaka kuondoka kwa imam huandikiwa kisimamo cha usiku (kwa kuikamilisha tarawehe pamoja na imam)
أما إذا صلى معه تسليمة، أو تسليمتين؛ فله أجرها نافلة، كلها نافلة، لكن الأفضل أن يكمل معه حتى يحصل له فضل قيام الليل.
Ima akiswali nae imam kwa salamu moja, au salamu mbili, basi atapata yeye ujira wa sunna (za kawaida), zote ni sunna, lakini bora zaidi aikamilishe tarawehe pamoja na imam mpaka kipatikane kwake kisimamo cha usiku."
❪[emoji432]❫ المصْــــدَرُ: ❪نور على الدرب أجر من لم يكمل مع الإمام التراويح❫.
══════ ❁✿❁ ══════
[emoji429] [emoji3578] Abou hudaa Al-jaziiriyyi حفظــــــــــه اللــــــــــه تعالــــــــــى ورعــــــــــاه[emoji433]
[emoji432]═══ AL-HUDAA DURUUSU ONLINE ═══[emoji432]
VUNA THAWABU KWA KUSAMBAZA KWA WENGINE[emoji108]
[emoji441]Kua muadilifu us'badili chochote[emoji95]
[emoji432]═══ AL-HUDAA DURUUSU ONLINE ═══[emoji432]