[emoji257][emoji257]MTU KAMUINGILIA MKEWE MCHANA WA RAMADHANI KWA SABABU YA UJINGA WAKE
❪[emoji411]❫ السُّــــ☟ـــؤَال : ﺭﺟﻞ ﺟﺎﻣﻊ ﺯﻭﺟﺘﻪ ﻓﻲ ﻧﻬﺎﺭ ﺭﻣﻀﺎﻥ ﻭﻫﻮ ﺻﺎﺋﻢ ﺟﺎﻫﻼ ﺑﺎﻟﺤﻜﻢ ﻭﺑﺎﻟﻜﻔﺎﺭﺓ، ﻭﺑﻌﺪ ﺫﻟﻚ ﺗﺒﻴﻦ ﻟﻪ اﻷﻣﺮ، ﻓﻤﺎﺫا ﻳﺠﺐ ﻋﻠﻴﻪ؟
[emoji404]Swali: mtu kamuingilia mkewe mchana wa ramadhani haliyakuwa kafunga haliyakuwa hajui hukmu yake na kafara yake, na baada ya kumuingilia likambanikia hukmu yake, nini kinampasa juu yake?
❪[emoji411]❫ الجَـــ☟ـــوَاب :ﻣﻦ ﺟﺎﻣﻊ ﺯﻭﺟﺘﻪ ﻓﻲ ﻧﻬﺎﺭ ﺭﻣﻀﺎﻥ ﻭﺟﺒﺖ ﻋﻠﻴﻪ اﻟﻜﻔﺎﺭﺓ، ﻭﻫﻲ:
[emoji736]Jawabu: mwenye kufanya tendo la ndoa na mkewe mchana wa ramadhani ni wajibu juu yake kafara, nayo hiyo kafara:
ﻋﺘﻖ ﺭﻗﺒﺔ ﻣﺆﻣﻨﺔ، ﻓﺈﻥ ﻟﻢ ﻳﺠﺪ ﻓﻴﺼﻮﻡ ﺷﻬﺮﻳﻦ ﻣﺘﺘﺎﺑﻌﻴﻦ، ﻓﺈﻥ ﻟﻢ ﻳﺴﺘﻄﻊ ﻓﻴﻄﻌﻢ ﺳﺘﻴﻦ ﻣﺴﻜﻴﻨﺎ ﻣﻊ اﻟﺘﻮﺑﺔ ﻭﻗﻀﺎء ﺫﻟﻚ اﻟﻴﻮﻡ،
Kumwacha mtumwa muumini huru, akiwa hakumpata basi atafunga miezi miwili mfululizo, na akiwa hakuweza basi atawapa maskini sitini chakula pamoja na kuomba toba kwa Allah pamoja na kuilipa siku hiyo
ﻭﻻ ﻳﻌﺪ ﺟﻬﻠﻪ ﺑﺘﺤﺮﻳﻤﻪ ﻭﻭﺟﻮﺏ اﻟﻜﻔﺎﺭﺓ ﻣﺴﻘﻄﺎ ﻟﻠﻜﻔﺎﺭﺓ ﻋﻨﻪ، ﻭﻫﻮ ﻳﻌﻴﺶ ﻓﻲ ﻫﺬﻩ اﻟﺒﻼﺩ ﻭﻳﺠﺐ ﻋﻠﻰ ﺯﻭﺟﺘﻪ ﻣﺜﻞ ﻣﺎ ﻭﺟﺐ ﻋﻠﻴﻪ.
Na wala hazingatiwi kuwa ni mjinga kwa uharamu wake na uwajibu wa kafara, ikawa sababu ya kudondoka kafara kwake, nae anaishi katika miji hii na wajibu kwa mkewe yale yaliyo kuwa wajibu kwake."
Fatwa ya lajnah ya kudumu
❪[emoji432]❫ المصْــــدَرُ: ❪فَتــَاوى اللجنَةِ الدَّائمَة, اﻟﺴﺆاﻝ اﻷﻭﻝ ﻣﻦ اﻟﻔﺘﻮﻯ ﺭﻗﻢ (17086❫
══════ ❁✿❁ ══════
[emoji429] [emoji3578] Abou hudaa Al-jaziiriyyi حفظــــــــــه اللــــــــــه تعالــــــــــى ورعــــــــــاه[emoji433]
[emoji257]Mafunzo sahihi ya ndoa[emoji257]
VUNA THAWABU KWA KUSAMBAZA KWA WENGINE[emoji108]
[emoji441]Kua muadilifu us'badili chochote[emoji95]
[emoji257]Mafunzo sahihi ya ndoa[emoji257]