Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Hua unafunga?Mwezi wa kuchuma unawasili tena
InshaAllah
Sina tatizo lolote la kiafya, kwa nini nisifunge?Hua unafunga?
Unaweza ukatupisha kwenye uzi wetu ukaenda kwa wagalatia wenzako.Mwez wa mapicha picha madrama unafiki na upuuz wa kila aina...
Tunamshukuru Allah kwa Neema ya Uislam.Mwez wa mapicha picha madrama unafiki na upuuz wa kila aina...
Maa shaa Allah, nilidhani una vidonda vya tumboSina tatizo lolote la kiafya, kwa nini nisifunge?
Watakuja kukupa utofauti ila kama kumbukumbu zangu ziko vizuri nafikir hijja inawakati maalum tofaut na umraWaungwana naombeni mnipe tofauti ya ibada ya Umra na Hijjah, tafadhali.
wivu tu, na hiki kitu hutakipataMwez wa mapicha picha madrama unafiki na upuuz wa kila aina...
In shaa AllahWatakuja kukupa utofauti ila kama kumbukumbu zangu ziko vizuri nafikir hijja inawakati maalum tofaut na umra
tustuane wakuuMwezi vipi huko ndugu zanguni niandae daku mapema Leo ........
Tukhabarishane
Malaria 2 TODAYS Bwana Utam Nifah Shadeeya nk
wadau mwenye kujua atahiyatu yakwanza na yapili aniandikie hapa.mana zinanichanganya
Ya kwanza hiyo..wadau mwenye kujua atahiyatu yakwanza na yapili aniandikie hapa.mana zinanichanganya
Kama matamshi nayo shida tafuta mjuzi akuelekeze vizuri .Hapo chini ilipoandikwa kiarabu kwa kiswahili mwishoni kwenye shahada inatakiwa kuwa "ash_hadu" na sio '-hadu" kama walivyoandika.Ya kwanza hiyo..
View attachment 2930624
Ya pilli hiyo..wadau mwenye kujua atahiyatu yakwanza na yapili aniandikie hapa.mana zinanichanganya