Ramadhan Special Thread

Ramadhan Special Thread

Mwezi vipi huko ndugu zanguni niandae daku mapema Leo ........
Tukhabarishane
Malaria 2 TODAYS Bwana Utam Nifah Shadeeya nk
Tayari mkuu we vunja jungu tu.
Screenshot_2024_0310_181927.jpg
 
Kama matamshi nayo shida tafuta mjuzi akuelekeze vizuri .Hapo chini ilipoandikwa kiarabu kwa kiswahili mwishoni kwenye shahada inatakiwa kuwa "ash_hadu" na sio '-hadu" kama walivyoandika.


Vilevile unaweza kudownload app kama hiyo au video ili kama nyezo ya kurahisha kuImpove katika utamkaji.
 
Back
Top Bottom