Ramadhan Special Thread

Huu si wakati wa kupoteza mda kwa kuangalia tv series au movies,,,au kucheza karata na zuna

Ni bora ukalala utahesabika uko kwenye ibada kuliko kutumia mchana wa ramadhani katika mambo yasiyofaa

Masiku yenyewe ni machache mno basi tujitahidi kusikiliza mawaidha, kusoma quran na kuhudhuria darsa mbali mbali misikitini ili tupate faida na machumo zaidi
 
Aminii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…