Nyoka_mzee
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 3,695
- 5,531
Ningekua nina uwezo hili jina ningelibadisha kwa kweli nikiona maneno kama hayo naogopaAllahumma balighnaa ramadan ya rabiiii[emoji120]
itakuwa vyema pia ukitutafsiria wengine tumependa rangi ya picha tu
Nadhani unaongelea jina lako rabii...Nikwekua nina uwezo ili jina ningelibadisha kwa kweli nikiona maneno kama hayo naogopa
Rabii ndo jina nililozaliwa nalo nimepewa na wazazi sina a.k.a mimi, ila kwa umri wangu hata nikibadili watu wataniita tuNadhani unaongelea jina lako rabii...
Sijui wakati unalitumia ulikuwa na nia gani ama kwa ulimaanisha nini.
Rab'bi maana yake mola mlezi wa viumbe vyote..ni miongoni mwa sifa za mola muumba.
Sifa hii hajapatapo kupewa mwanadamu ama kiumbe chochote pasi na allah mola muumba kwa kuwa yeye ndo mlezi wa viumbe vyote tangu kutungwa kwa mimba hadi kufa.
Allah humuhukumu mtu kutokana na nia yake sidhani kama nia yako ni kujikweza kwa kujipa sifa ya M/Mungu.
Basi M/mungu ni mwingi wa msamaha na atakusamehe inshaaalah
NB.
Lakini pia waweza kuitupa hilo jina na kuja na id mpya hapa utakuwa umetenda jambo jema sana na allah ni mwingi na mbora wa kulipa
Allahu a'alam
Wa'afua mimkumJamani tupo katka kukumbushan katk yale yaliyo mema na kukatazana katka yale yasiofaa pia usione aibu kuuliza chochote ambacho hukifaham wanaokijua watakufahamisha jaman hapa ktk swala pana mambo mengi sana ya kustaajabisha na ya kushangaza pia mtu ukiona swala yakushinda namanisha huiwez au hujui yanayotamkwa pindi mtu anapokuwa anaswali please jamn uliza au kam waon haya mfate mtu pm akufahamishe zaid Jamani kuhusu kutia udhu pia kwa baadhi ya waislam ni tatizo uliza sote tupo hap kwa ajil ya kujifunza ukion aibu kuuliz hap unawez kwenda pm ya yoyote na swala lako likawekwa mezan tukajadil MWENYEZI MUNGU NDO MUWEZA WA YOTE WABILLAH TAUFFIK ASALAM ALYKUM WARAHMA TULLAH WABARAKATUH
Sawa mkuu ila kuijua dini ya mwenzako ni vzr sio vibaya kwan unakua kiimani huto yumbishwaNilisahau kuwa uzi unalenga watu wa dini moja nikajikuta naufungua na kuusoma.Mniwie radhi japo naamini kila mtu ana haki ya kupata elimu juu ya mwezi mtukufu,kwaresma au mifungo mingine.Na nadhani anayehitaji zaidi elimu yenu hiyo kuhusu uislam ni mtu asiyejua kitu.
Dah basi ni mtihaniRabii ndo jina nililozaliwa nalo nimepewa na wazazi sina a.k.a mimi, ila kwa umri wangu hata nikibadili watu wataniita tu
Mwenye kusimamisha swala basi ameisimamisha swala na mwenye kuacha swala basi ameacha Dini.SWALA NDIO NGUZO KUBWA YA DINI
Ila nia si kujifananisha na mungu ni jina tuDah basi ni mtihani
Ila kama mtu anataka kumwita mwanae kwa jina linalofanana na hilo basi hana budi kutanguliza neno abdu(mja)...alafu ndo lije jina la allah
Mfano rabii(mlezi) lilitakiwa liwe abdulrabbi(mja wa mlezi) wa viumbe vyote.
Ila ndo hivyo tena ishatokea omba istighfaar na allah ni mwingi wa kusamehe.
NB.
Yes tuwape majina mazuri watoto wetu kama ilivoamrishwa katika dini ila ...
Tuwe makini sana wakati tunawapa watoto wetu majina tuangalie tusijevuka mipaka.
Wallahu aa'lam
Mambo yanayo batikisha swaumu :Assalam aleykum warahmatullah wabarakatuh, Naomba kufahamishwa mambo yanayobatilisha funga,pili je kwa mfano mwanafunz kakosa ukamchapa /kumtoa ktk kipindi (kwa utovu wa nidhamu) huku ukiwa kwenye funga inabatilisha funga yako? Maana dunia imejawa na mitihani esp ktk hizi kazi za duniya
Umedokeza kitu muhim sana,usisubiri mtu aulize,wewe ukiwa na muda weka mada hapa ya sala kuanzia udhu na kuendelea.Utakua umeshawasaidia watu na Allah atakulipa.Thread hii ndo mahala pakeJamani tupo katka kukumbushan katk yale yaliyo mema na kukatazana katka yale yasiofaa pia usione aibu kuuliza chochote ambacho hukifaham wanaokijua watakufahamisha jaman hapa ktk swala pana mambo mengi sana ya kustaajabisha na ya kushangaza pia mtu ukiona swala yakushinda namanisha huiwez au hujui yanayotamkwa pindi mtu anapokuwa anaswali please jamn uliza au kam waon haya mfate mtu pm akufahamishe zaid Jamani kuhusu kutia udhu pia kwa baadhi ya waislam ni tatizo uliza sote tupo hap kwa ajil ya kujifunza ukion aibu kuuliz hap unawez kwenda pm ya yoyote na swala lako likawekwa mezan tukajadil MWENYEZI MUNGU NDO MUWEZA WA YOTE WABILLAH TAUFFIK ASALAM ALYKUM WARAHMA TULLAH WABARAKATUH
1.Kula mchana wa ramadhanAssalam aleykum warahmatullah wabarakatuh, Naomba kufahamishwa mambo yanayobatilisha funga,pili je kwa mfano mwanafunz kakosa ukamchapa /kumtoa ktk kipindi (kwa utovu wa nidhamu) huku ukiwa kwenye funga inabatilisha funga yako? Maana dunia imejawa na mitihani esp ktk hizi kazi za duniya
Cc leprincessMambo Sita Yanayobatilisha Swawm
1. na 2. Kula au kunywa kwa kukusudia.
3. Kujitapisha kusudi.
4. na 5. Mwanamke atakapopata ada yake mwezi akiwa katika swawm.
6. Kitendo cha Jimai.
Utofaut upo katk uitaji pia lako ni rabii rabiya kwa ke lkn la Allah ni rabi'i kam nimekosea nirekebishweRabii ndo jina nililozaliwa nalo nimepewa na wazazi sina a.k.a mimi, ila kwa umri wangu hata nikibadili watu wataniita tu
AMESIMAMISHA DINIMwenye kusimamisha swala basi ameisimamisha swala na mwenye kuacha swala basi ameacha Dini.
Shukran nitajitahidUmedokeza kitu muhim sana,usisubiri mtu aulize,wewe ukiwa na muda weka mada hapa ya sala kuanzia udhu na kuendelea.Utakua umeshawasaidia watu na Allah atakulipa.Thread hii ndo mahala pake
# mbili sio MKE TU.Mambo yanayo batikisha swaumu :
# kula na kunywa kwa makusudi
# kujimai(kumuingilia mkeo )mchana wa ramazani
# ukiwa katika siku zako(hii kwa wanawake)
# kujitoa manii kwa Mkusudi
Kuhusu kumuazibu mwanafunzi ambae ni mtuvu wa nizamu hili halikubatilishi swaumu yako