huku kwetu zenj usije, kalia huko hukoNawatakia mfungo mwema Ndugu zangu, ila ile sheria ya kula hadharani nadhani mimi ndio nitakuwa wakwanza kuivunja, Mtanisamehe bure aisee
nakusihi mwezi huu ujisitiri angalauRamadhan Kareem
SijaelewaHapa ukibadili dini hupati hasara.
Hilo la majina ni mtihani sana, tunaona wakina Karimu walivyojaa, wakina Aziz ndio usiseme, wakina Majid ndio mama weee,Dah basi ni mtihani
Ila kama mtu anataka kumwita mwanae kwa jina linalofanana na hilo basi hana budi kutanguliza neno abdu(mja)...alafu ndo lije jina la allah
Mfano rabii(mlezi) lilitakiwa liwe abdulrabbi(mja wa mlezi) wa viumbe vyote.
Ila ndo hivyo tena ishatokea omba istighfaar na allah ni mwingi wa kusamehe.
NB.
Yes tuwape majina mazuri watoto wetu kama ilivoamrishwa katika dini ila ...
Tuwe makini sana wakati tunawapa watoto wetu majina tuangalie tusijevuka mipaka.
Wallahu aa'lam
Na utakuta sisi waswahil ndio wenye tabia ya kukatisha watot wetu majina sijui kwa nin mie sipend kabisa mwanang akatishwe jina lakeHilo la majina ni mtihani sana, tunaona wakina Karimu walivyojaa, wakina Aziz ndio usiseme, wakina Majid ndio mama weee,
Wengi kuweka ABDU hawaweki sijui ni kusahau au vipi.
Ni kutokuzingatia tu,Na utakuta sisi waswahil ndio wenye tabia ya kukatisha watot wetu majina sijui kwa nin mie sipend kabisa mwanang akatishwe jina lake
Enyi waislam wenzangu, napenda kuwakumbusha kuwa tusipende kutoa fat-wa kwa mambo ambayo hatuna uhakika nayo.
Allah anatuambia ktk Qur'an tukufu kwamba:
"Fas-alu ahlu dhikri inkuntum laa ta'alamuun"
Maana yake ni kwamba "waulizeni wenye elimu kwa Yale ambayo hamuyajui"
So ni vyema kufikisha suali ambalo hauna uhakika nalo kwa wenye ujuzi zaidi kabla ya kutoa fat-wa.
Wallah u A'alam!!
Sahihisho.Hilo la majina ni mtihani sana, tunaona wakina Karimu walivyojaa, wakina Aziz ndio usiseme, wakina Majid ndio mama weee,
Wengi kuweka ABDU hawaweki sijui ni kusahau au vipi.
Labda hizo Rabii ya mwezi mmoja wapo kati ya miezi ya kiarabu.Dah basi ni mtihani
Ila kama mtu anataka kumwita mwanae kwa jina linalofanana na hilo basi hana budi kutanguliza neno abdu(mja)...alafu ndo lije jina la allah
Mfano rabii(mlezi) lilitakiwa liwe abdulrabbi(mja wa mlezi) wa viumbe vyote.
Ila ndo hivyo tena ishatokea omba istighfaar na allah ni mwingi wa kusamehe.
NB.
Yes tuwape majina mazuri watoto wetu kama ilivoamrishwa katika dini ila ...
Tuwe makini sana wakati tunawapa watoto wetu majina tuangalie tusijevuka mipaka.
Wallahu aa'lam
Ramadhani aka Ramsey, aka Ramso [emoji735][emoji735][emoji735]Na utakuta sisi waswahil ndio wenye tabia ya kukatisha watot wetu majina sijui kwa nin mie sipend kabisa mwanang akatishwe jina lake
Mambo yote muhimu [emoji115]Ushauri wangu kwa ndugu zangu ktk Imani ni kuwa, tujitahidi kujipinda na ibada zaidi ktk mwezi huu wa Ramadhan
1. Tuhakikishe tunaswali swala zote kwa wakati bila ya kukosa.
2. Tunajisomea Qur'an kwa wingi na ikiwezekana kumaliza Juzuu 30 zote.
3. Kupata darsa za kuzihuisha nyoyo zetu ili ziweze kudumu na ibada pamoja na kufanya yale yenye kheri
4. Kupata darsa za Tafsiri za Qur'an ili kuweza kutambua maamrisho kama yalivyo ktk Qur'an. Ukishindwa basi Hata kusikiliza Audio kutoka kwa masheikh wetu zinazopatikana ktk web tofauti tofauti kama Alhidaaya, wanachuoni, east africa Quran and Sunna Society. Google ni rafiki muhimu. Ukiweza pia kuna web za kiingereza nitawawekea nikiwa ktk computer.
5. Ramadhan si mfungo wa chakula draft, bali ikiwezekana tuwatafute wasio na uwezo tuwape sadaka ya vyakula ambavyo wengi wetu hufanya israfu.
6. Taraweh na Sala za usiku ziwe katika malengo yetu na hakikisha unahudhuria misikiti ambayo ina visomo virefu ili ku maximize muda wetu kwenye ibada.
7. Tujiepushe na laghwi zozote. Mfano frequenting ktk websites za kuchat tu, miziki na mengineyo yasiyomfurahisha Muumba. Games kwa munasaba wa kupoteza muda si mahala muafaka ktk Ramadhan bali yatupasa tuipambe ramadha kwa Nyiradi, visomo na kusikiliza Quran.
8. Tuombe maghf'iraa kwa wingi sana, ikiwezekana lia na nafsi yako, toa machozi kujisuta kwa madhambi tuliyowahi kuyafanya na tuazimie kutorejea tena ktk madhambi hayo mfano wa Riba, utesi, zinaa, wizi, kusengenya, shiriki, kula mali za yatima, dhulma, liwatwi, kuacha kusali, kuacha kuhiji kwa wenye uwezo na mengi ktk madhambi ambayo Iblis mwenye laana ametupambia nayo.
9. Tuunge udugu kwa kutembeleana na kufuturishana.
10. Tutoleane salamu na tujiweke mbali na mikusanyiko ambayo kwayo maasia yanapatikana.
Allaah atufanyie wepesi sote na tuiombee nchi yetu na viongozi wetu ili Wasiipoteze hii nchi na kuiharibu.
Ameen
Haifai ivoNawatakia mfungo mwema Ndugu zangu, ila ile sheria ya kula hadharani nadhani mimi ndio nitakuwa wakwanza kuivunja, Mtanisamehe bure aisee
Nimekutafuta wee angalau nikudokeze uje huku upate mawili matatu ila sijakuona.Nice thread
Dada kuna watu "fii quluubihim maradh fazaada humu llah maradhwaa...."ilaa akhiril aya...Nice thread
Asante sn my,ndio Kwanza naona Sasa huu uzi.Nimekutafuta wee angalau nikudokeze uje huku upate mawili matatu ila sijakuona.
Karibu my kwa lolote lenye faida kuhusu mwezi wetu Mtukufu wa ramadhan sio mbaya ukaliweka humu tukazidi kupata elimu zaidi.