Hahaha kipenzii,nduguu,dada angu[emoji23]sote tu ,tubadili Mimi na ww.mimi naitoa Sasa ivi isijeniharibia saum yngu na ya wengine[emoji3][emoji28]Dada kuna watu "fii quluubihim maradh fazaada humu llah maradhwaa...."ilaa akhiril aya...
Sasa iyo profile picture itawaharibia swaumu dear...[emoji1]
Na mm naitoa yangu[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahaha kipenzii,nduguu,dada angu[emoji23]sote tu ,tubadili Mimi na ww.mimi naitoa Sasa ivi isijeniharibia saum yngu na ya wengine[emoji3][emoji28]
InshaAllahMfungo mwemaa
Barakallahu fyka Kumbe Nyoka Mzee ni Bonge la Sheikh Nmepitia post zako naona zmejaa Nusus tupu MashaAllah...!!!Mambo Yaliyopendekezwa Kwa Mwenye Kufunga
Imependekezwa kwa mwenye kufunga afuate Sunnah za Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa Sallam) katika kujitayarisha na swawm yake nayo ni haya yafuatayo;
1. Kula daku
Amehadithia Anas (Radhiya Allaahu ´anhu) Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wasallam) amesema:
‘’Kuleni daku, kwani kula huko daku kuna baraka.” [Imeripotiwa na Imaam Al-Bukhaariy, Muslim, At-Tirmidhiy na Nasaa’y na Ibn Maajah].
Na ‘’kuleni daku’’ hata kama kwa kunywa maji inatosheleza. ´Abdullaah Ibn ´Amr amehadithia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa Sallam) amesema:
’’Kuleni daku japo kwa kunwa tama la maji.’’
[Imesahihishwa na Shaykh Al-Albaaniy katika Swahiyh al-Jamiy´ as-Swaghiyr na.2945 imeripotiwa na Ibn Hibbaan].
Pia Imependekezwa kuchelewesha kula daku. Amehadithiya Anas kutoka kwa Zayd ibn Thabit ambaye amesema:
‘’Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa Sallam) alikula daku kisha akatoka kwenda kuswali. Anas akamuuliza “Kulikuwa na muda gani baina chakula cha daku na adhaana?” Akajibu: “Ilikuwa kiasi cha kusoma Aayah khamsini za Qur-aan".
[Imeripotiwa na Imam Al-Bukhaariy na Muslim].
Pia ameruhusiwa amalize chakula chake anaposikia Adhaana ya Fajr. Abu Hurayrah amehadithia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa Sallam) amesema:
“Endapo mmoja wenu atasikiya adhaana na mkononi mwake ana kinywaji, asirudishe kinywaji hicho mpaka aridhike nacho.
’’[yaani anywe mpaka amalize haja yake]. [Imesahihishwa na Shaykh al-Albaaniy katika al-Jami' as-Swaghiyr na.607].
Allah Akubaliki ila Akhy wanachuoni wetu wa kiislam wamekataza kuandika Quran kwa lugha nyingine yaani Transliteration hili hali fai na linaitoa Quran kutoka ktk Asli ykeDada kuna watu "fii quluubihim maradh fazaada humu llah maradhwaa...."ilaa akhiril aya...
Sasa iyo profile picture itawaharibia swaumu dear...[emoji1]
Ushauri wangu kwa ndugu zangu ktk Imani ni kuwa, tujitahidi kujipinda na ibada zaidi ktk mwezi huu wa Ramadhan
1. Tuhakikishe tunaswali swala zote kwa wakati bila ya kukosa.
2. Tunajisomea Qur'an kwa wingi na ikiwezekana kumaliza Juzuu 30 zote.
3. Kupata darsa za kuzihuisha nyoyo zetu ili ziweze kudumu na ibada pamoja na kufanya yale yenye kheri
4. Kupata darsa za Tafsiri za Qur'an ili kuweza kutambua maamrisho kama yalivyo ktk Qur'an. Ukishindwa basi Hata kusikiliza Audio kutoka kwa masheikh wetu zinazopatikana ktk web tofauti tofauti kama Alhidaaya, wanachuoni, east africa Quran and Sunna Society. Google ni rafiki muhimu. Ukiweza pia kuna web za kiingereza nitawawekea nikiwa ktk computer.
5. Ramadhan si mfungo wa chakula draft, bali ikiwezekana tuwatafute wasio na uwezo tuwape sadaka ya vyakula ambavyo wengi wetu hufanya israfu.
6. Taraweh na Sala za usiku ziwe katika malengo yetu na hakikisha unahudhuria misikiti ambayo ina visomo virefu ili ku maximize muda wetu kwenye ibada.
7. Tujiepushe na laghwi zozote. Mfano frequenting ktk websites za kuchat tu, miziki na mengineyo yasiyomfurahisha Muumba. Games kwa munasaba wa kupoteza muda si mahala muafaka ktk Ramadhan bali yatupasa tuipambe ramadha kwa Nyiradi, visomo na kusikiliza Quran.
8. Tuombe maghf'iraa kwa wingi sana, ikiwezekana lia na nafsi yako, toa machozi kujisuta kwa madhambi tuliyowahi kuyafanya na tuazimie kutorejea tena ktk madhambi hayo mfano wa Riba, utesi, zinaa, wizi, kusengenya, shiriki, kula mali za yatima, dhulma, liwatwi, kuacha kusali, kuacha kuhiji kwa wenye uwezo na mengi ktk madhambi ambayo Iblis mwenye laana ametupambia nayo.
9. Tuunge udugu kwa kutembeleana na kufuturishana.
10. Tutoleane salamu na tujiweke mbali na mikusanyiko ambayo kwayo maasia yanapatikana.
Allaah atufanyie wepesi sote na tuiombee nchi yetu na viongozi wetu ili Wasiipoteze hii nchi na kuiharibu.
Ameen
Ahsante sana kwa ukumbusho, itabd niset my phone keyboard in Arabic fonts.Allah Akubaliki ila Akhy wanachuoni wetu wa kiislam wamekataza kuandika Quran kwa lugha nyingine yaani Transliteration hili hali fai na linaitoa Quran kutoka ktk Asli yke
Naam Fanya hivyo maana kuna watu wakiyasoma hayo maneno wataya tamka tofauti hili linapelekea maana ya Quran kubalikaAhsante sana kwa ukumbusho, itabd niset my phone keyboard in Arabic fonts.
Ahsante sana kwa ukumbusho, itabd niset my phone keyboard in Arabic fonts.
Kiongozi wa Shia ni, Ayatollah (kiajemi: آيت الله, kiar.: آية الله ayatu 'llah - "alama ya Allah/Mungu") ni cheo cha kiongozi wa kidini katika Uislamu wa Shia hasa nchini Uajemi na pia Iraq.Huwa tunasikia vyeo vya viongozi mbalimbali wa kiislam kwa level za kitaifa, kama kadh/shekh mkuu, ayatollah (supreme leader) nk. Hivi viongozi wakuu wa level ya dunia wapo? Kiongozi wa mashia duniani cheo chake kina jina gani? Au kiongozi mkuu wa dhehebu la sunni duniani yuko na jina la wadhifa wake ni lipi?
Je kuna tofauti kati ya kafir na mshirikina? Unapo futurisha watu gani wanaqualify kufuturisha?
Na washawasha!
Ivi kwani Mashia ni Waislamu?Kiongozi wa Shia ni, Ayatollah (kiajemi: آيت الله, kiar.: آية الله ayatu 'llah - "alama ya Allah/Mungu") ni cheo cha kiongozi wa kidini katika Uislamu wa Shia hasa nchini Uajemi na pia Iraq.
Kiongozi wa Sunni, baada ya kifo cha Mtume (S.A.W), vifo vya Maswahaba (R.A) na vifo vya Makhalifa, hapajatokea kiongozi mkubwa mwingine zaidi ya Sheikh. (WANAOJUA WATAKUJA KUFAFANUA ZAIDI)
Kwa wale wasio maana ya sunna iliyokokotezwa ni kwamba ukifanya unapata malipo makubwa mno.funga inaswihi, lakini daku ni suna iliyokokotezwa, ni makruhu kuacha kula daku, kwa kuwa nayo ina fadhila/thawabu zake. Wallah A'alam!!!!
Tofauti kati ya Kafir na Mshirikina,Huwa tunasikia vyeo vya viongozi mbalimbali wa kiislam kwa level za kitaifa, kama kadh/shekh mkuu, ayatollah (supreme leader) nk. Hivi viongozi wakuu wa level ya dunia wapo? Kiongozi wa mashia duniani cheo chake kina jina gani? Au kiongozi mkuu wa dhehebu la sunni duniani yuko na jina la wadhifa wake ni lipi?
Je kuna tofauti kati ya kafir na mshirikina? Unapo futurisha watu gani wanaqualify kufuturisha?
Na washawasha!