Ramadhan Special Thread

Kila kafiri ni mshirikina ila sio kila mshirikina ni kafiri.
Kafiri ni yule anaeamini kuna Mungu isipokua Allah.,na mshirikina ni mtu yoyete anaeingilia ufalme wa Allah mathalan kwa kuabudu kama makafiri,au kuwanga kwa wachawi..ila shirki zipo nyingi sana,unaeza ukawa unamshirikisha Mungu pasina kujua.
Kiongozi level ya dunia kwa waislam ni mtume wetu Muhammad s.a.w
 
Kwenye haq lazma kunainishe bila kuangalia mahali wala mtu "shia wamekufuru kuliko mahayahud & naswara" shia ni makufar. Niahii ni kwa mujjibu wa vitabu vyao na maimam wao waneja taqya sanaa haya watu wana talbisat nyingi Kwa faida zaid njoo PM akh..
Hamna aliesema usisimamishe haq..
Ila hapa sio mahala pake,mtaleta mjadala usio na maana.
 
Tuweni makini jamani, kuna watu wapo hapa kwa ajili ya kututoa katika mstari, don't argue about anything stupid wanacholeta.
Let's focus on Ramadhan na fadhila zake only, nn tufanye ili kufikia lengo la swaumu.
 
Waislam tuwe na msimamo popote pale tulipo, tudhihirishe uislam wetu, tuonyeshe msimamo wetu. Tuswali swali tano jamani, kwani swala ndo ufunguo wa kila jambo, kwa tuliojaaliwa kupata elimu zote mbili tumshukuru sana allah , allah atujali funga njema na tufikie lengo la funga, na tukumbuke kufanya toba.
 
Amiiin.
 
Allahumma aamina inshallah
 
Kumbe nyie huwa mnafanya hata mchana!!!
 
Bado umeniacha maana nijuavyo mimi Mtume SAW ni level ya juu sana kwa maana kuwa yeye yuko katika mambo ya level ya mbinguni. Kuwa watu wanafuata mafundisho yake ili kumfikia Allah. Sasa nauliza kiongozi wa sasa hapa duniani katika kuratibu mambo ya kiislamu hasa ya hapa duniani ni nani? Au hierarchy ina ishia kitaifa tu? Au ni weke hivi hamna kadhi/shekh mkuu wa dunia?
Kuna hili la kufuturisha/futarisha watu gani wanaswihi ukiwafuturisha?

Na washawasha!



 
Kwa kweli sijui ni kiongozi yupi anaeongoza dunia kwa sasa.ila rank ya uongozi ipo inaanza na mtume,maswahaba zake,maimamu wanne...baada ya hapo sifaham

Kuhusu nani afuturishwe sina elimu nalo la ushahidi wa aya au Quran
Ila tumeusiwa kuwakumbuka sana mayatima na maskini kwenye maisha yetu.
 
kufurisha unafuturisha mtu yeyote muislamu aliefunga unaweza kwa siku zote 30 ukawaalika ikiwa una uwezo ila kama ulivyjibiwa hapo ni vizuri zaid kama utawatafuta maskini

kafiri hawezi kufuturishwa sababu hafungi,ila ikiwa amekuja na kuomba chakula ikiwa ana njaa atapewa, uislamu unatufundisha kujali hata wanyama sembuse binadamu mwenzetu??

yatakiwa uelewe uislamu haufundishi kuwabagua makafiri wala kuwaona maadui isipokuwa tumefundishwa kuishi na kila mtu kwa wema awe muislamu/asiwe muislamu ikiwa hawjaatuchokoza katika dini tumefundishwa kupambana nao kwa hoja wala sio kwa upanga
ukimuona muislamu anainua mkono wake kupigana na kafiri ujue kuna mawili (a) amechokozwa/kunyanyaswa/kupigwa (b) hajausoma na kuujua uislamu wake
Mtume (s..a.w) anasema ".Mche M/Mungu popote pale ulipo,fuatilishia baya(ulilolifanya)kwa wema na ishi na watu maisha yalio mazuri''
 
FAIDA ZA SWAUMU

1. Swaumu husaidia utoaji sumu mwilini inayotakana na vyakula tunavyokula (processed food )

2. Swaumu husaidia kuweka kiwango cha sukari katika damu katika hali inayotakiwa

3. Swaumu Inapunguza hatari ya kupata maradhi ya kisukari (diabetes), maradhi ya moyo, na baadhi ya aina za kansa

4. Swaumu huongeza kinga ya mwili (immune system)

5. Swaumu husaidia kupunguza uzito kwa wale wenye unene uliopindukia (obesity)

6. Swaumu inasaidia kutufunza jinsi ya kula kwa usahihi na kuepuka ulaji hovyo ( health eating habit )

7. Swaumu husaidia kuondoa uraibu( addiction ) kama vile ulevi, uvutaji sigara hovyo, uasherati, kujichua, uangaliaji wa picha za uchi (pornograph )n.k

8. Swaumu Huzidisha imani na uchamungu kwa waumini

Hizi ni baadhi tu miongoni mwa faida tele anazozipata muislamu pindi anapofunga kwa usahihi na hazina shaka zimethibitishwa pia na wanasayansi (madaktari ), nimedhiorozesha ila ikiwa yuko mtu anataka maelezo zaidi sehemu ambayo hajaielewa ruksa kuuilza

ONYO
Kufunga kwa mda mrefu bila kula huweza kupelekea maradhi k.v moyo kushindwa kufanya kazi vizuri ( irregular heartbeat ) na upungufu wa kali mwilini (hypokalemia ) n.k
Ni haramu kwa muislamu kufunga zaidi ya siku tatu kwa makusudi bila ya kula
 
Huwezi amini kwa hizi avatar zetu jamani, mtu kama;

1. Hence mtanashati
2.byong
3.thatsist

Ni miongoni mwa waislam wazuri kabisa ivi kwenye dini yao, Allah atujalie mwisho mwema, wenye nia ya hijah Allah atujalie sote kwenda kuiona alkaba.

Hongera kwa
1.Emmyta
2. Uhuhty ( kama sijakosea), najua wanaijua dini yao.

Tumkaribishe Dada yetu mpendwa bi. Faizafoxy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…