Kulingana na taratibu na matakwa ya sheria,kwa sasa hakuna kiongozi wa waislamu wote duniani. Tangu kuanguka dola ya Uthmaan hakujasimama khilafa nyingine.Kwa kweli sijui ni kiongozi yupi anaeongoza dunia kwa sasa.ila rank ya uongozi ipo inaanza na mtume,maswahaba zake,maimamu wanne...baada ya hapo sifaham
Kuhusu nani afuturishwe sina elimu nalo la ushahidi wa aya au Quran
Ila tumeusiwa kuwakumbuka sana mayatima na maskini kwenye maisha yetu.
Kwa yeyote ambaye hatafunga kwa ajili ya maradhi wakati wa mwezi ramadhani, atakula mchana wa ramadhani ila atatakiwa kulipa baada tu ya eid na asiikutanishe swaumu hiyo na ramadhani nyingine.Kwa wale wanaosingizia vidonda vya tumbo tumuogope Allah, kwani siku 30 ni kidogo sana, vipi lakini hukumu ya wale wanaoumwa kweli vidonda vya tumbo?
Aaamin inshallahKila la kheri katika mfungo wa Ramadhani
Mungu awafanyie wepesi swaumu zenu
Mm ndio Mayweather mwenyewe usiwe na hofu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]ukhuty na Hance Mtanashati nimezipenda avatar zenu
ila Hance Mtanashati muambie mayweather avue hayo madude ya shingon bhana!!!
πππ
Shukranukhuty na Hance Mtanashati nimezipenda avatar zenu
ila Hance Mtanashati muambie mayweather avue hayo madude ya shingon bhana!!!
πππ
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu inasikitisha sana, ila ndo dada zetu hao wa leo!
Kina dada Acheni Usanii Mwezi wa Ramadhani
Sahihi SheikhMkuu inasikitisha sana, ila ndo dada zetu hao wa leo!
tusichoke kuwaelimisha, na tuwaombee dua Mungu awaonyeshe haki!
Ni kutokuelewa tu mwanamke anaejihifadhi anavutia zaidi kuliko mvaa vimini.
Lailatul qadr ni bora kuliko miezi 1000.
FaizaFoxy wapotozee hao ccm kwa mda dimaa anakuomba uje japo kusalimia pande hizi, watu wanachuma matunda ya peponi hukuHuwezi amini kwa hizi avatar zetu jamani, mtu kama;
1. Hence mtanashati
2.byong
3.thatsist
Ni miongoni mwa waislam wazuri kabisa ivi kwenye dini yao, Allah atujalie mwisho mwema, wenye nia ya hijah Allah atujalie sote kwenda kuiona alkaba.
Hongera kwa
1.Emmyta
2. Uhuhty ( kama sijakosea), najua wanaijua dini yao.
Tumkaribishe Dada yetu mpendwa bi. Faizafoxy
Faiza Foxy sijui kapolea wapiHuwezi amini kwa hizi avatar zetu jamani, mtu kama;
1. Hence mtanashati
2.byong
3.thatsist
Ni miongoni mwa waislam wazuri kabisa ivi kwenye dini yao, Allah atujalie mwisho mwema, wenye nia ya hijah Allah atujalie sote kwenda kuiona alkaba.
Hongera kwa
1.Emmyta
2. Uhuhty ( kama sijakosea), najua wanaijua dini yao.
Tumkaribishe Dada yetu mpendwa bi. Faizafoxy