View attachment 514503
Kalenda ya kiislamu ilianza mwaka 622AD
Huo ni mwaka wa kihistoria wa kiislamu ambapo Mtume(s.a.w.) alihama kutoka maka kwenda madina
Kalenda ya kiislamu ina miezi 12
1. Muharram (mfungo 4)
2.Safar
3.Rabi-ul Awwal (mfungo 6)
4.Rabi –ul-Akhir
5.Jumaada –ul Awwal
6.Jumaada ul Akhir
7.Rajab
8.Shaaban
9.Ramadhan
10.Shawwal
11.Dhul Qaadah (mfungo 2 )
12. Dhul Hijja (mfungo 3 )
KANUNI NZURI YA KUJUA MWAKA WA KIISLAMU/WA KIMATAIFA TUMIA HII
G = (32H : 33) + 622
M = {33*(K - 622)): 32
G=INTERNATIONAL CALENDAR
M=ISLAM CALENDAR
BAADHI YA MATUKIO MUHIMU YA KIHISTORIAKATIKA UISLAM
496 AD Alizaliwa babu yake Mtume (s.a.w ) Bwana Abdul Muttalib
545 AD Alizaliwa baba yake Mtume (s.a.w )-Abdillah Bin Abdul Muttalib
546 AD Alizaliwa mama yake Mtume (s.a.w )-Bi Amina Bint Wahab
571 AD Alizaliwa Muhammad Bin Abdillah (s.a.w) (mfungo 6 )
576 AD Alikufa mama yake Mtume (s.a.w)
578 AD Alikufa babu yake Mtume (s.a.w )
595 AD Mtume (s.a.w) aliamuoa Bi khadija (r.a)
610 AD Alishushiwa utume (sawa na mwezi 17 Ramadhan )
613 AD Alizaliwa Bi Aisha Bint Abubakar (r.a)
616 AD Alisilimu Sayyidina Umar (r.a)
620 AD Walifariki Bi khadija (r.a) na Bwana Abu Talib
621 AD Safari ya miraji ya Mtume (s.a.w) na kufaradhishwa sala 5 (mwezi wa Rajab)
622 AD Hijra ya Mtume(s.a.w) pamoja na masahaba
623 AD=2AH Aliolewa Bi Aisha (r.a ) na Mtume (s.aw.) pia ndiyo mwaka iliofaradhishwa Ramadhan na kutoa Zaka
628 AD=7AH Ilifaradhishwa Hijja
632 AD=11AH Alikufa Mtume(s.aw) na mwaka huo miezi 6 baadae alikuja kufa Binti yake kipenzi Fatma (r.a)
677AD=57AH Alifariki mke kipenzi wa Mtume Aisha (r.a)
haya ni baadhi tu miongoni mwa matukio mengi makubwa yaliotokea katika historia ya uislam
NB.
AD=After Death
AH=After Hijra