ni kweli ila nadhan hawajafuta chochoteHuu uzi ulifika hadi page 48 nashangaa sijui imeshukaje shukaje
usiondoke tafadhaliAsalaam aleykum warahmatullah wabarakatuh,
Ndugu zangu katika imani, nasikitika kuwaaga sitaweza kuendelea kua nanyi katika uzi huu,
hua ni kawaida yangu kila ifikapo ramadhani, najitoa kwenye mitandao ya kijamii yote,
In shaa Allah tutajumuika tena baada ya ramadhani tukijaaliwa.
Nawatakieni mfungo mwema na Allah apokee saumu zetu na sala zetu na maombi yetu na toba zetu,
Amiin.
Ramadhani Kareem, nimepata taarifa mwezi umeonekana Kondoa, kesho inshaallah fasting 1.
wamefuta zile posts za wale waliotaka kutuharibia uzi wetu,Huu uzi ulifika hadi page 48 nashangaa sijui imeshukaje shukaje
Serious?[emoji15] [emoji15] [emoji15]Ramadhani Kareem, nimepata taarifa mwezi umeonekana Kondoa, kesho inshaallah fasting 1.
Tatizo sijui nini hadi kupelekea kupungua kwa pageni kweli ila nadhan hawajafuta chochote
Mkuu mwezi umeonekana, angalia post nyingi hapo juuWenye taarifa za kuonekana mwezi watujuze. Mm sisubiri mufti atangaze
Mimi nitakualikaMimi nawatakia mfungo mwema wakuu..
Siku ya idd msiache kunialika tuu..[emoji41]
Kuna post zimeondolewa hasa zile za wakristo ambazo walikuwa wanakashifuHuu uzi ulifika hadi page 48 nashangaa sijui imeshukaje shukaje
Kama wameziondoa wamefabya jambo jema sana, jukwaa la rehmaa hili linahitaji utulivu wa hali ya juu kabisaKuna post zimeondolewa hasa zile za wakristo ambazo walikuwa wanakashifu
Umeshathibisha?Serious?[emoji15] [emoji15] [emoji15]