Wew inabidi upewe elimu ya mwaka mzima njoo pmSwali jaman nilikuwa na mpenzi muislamu nikiwa period haniruhusu kushika kanzu zake hii maana yake Nini?
Nawe pia Ramadhan KareemRamadhani kareem
Asalam àleykum..Asalaam Aleykum ndugu zangu wote katika imani,
Kuelekea mfungo mtukufu wa mwezi wa Ramadhan, waislamu wote nawaomba tukutane humu ili tuelimishane mawili matatu kuhusu mwezi huu.
Lengo kuu ni kuweza kufahamu yale yote aliyotufunza kipenzi chetu mtume Muhammad S.A.W kuhusu mwezi huu.
Vitu gani tukifanya vitaharibu swaumu zetu, vitu gani tukifanya vitaongeza thawabu zinazopatikana katika kufunga, ipi hukumu kwa wale wasiofunga na yapi malipo anayopewa mja ambaye anafunga swaumu kikamilifu
Pia tuweze kujifunza neema zinazopatikana kwenye usiku wa lailatul qadr, usiku ambao umebarikiwa kuliko siku elfu moja.
Kwa haya machache napenda kutanguliza shukrani zangu za dhati kwa muumba wa mbingu na ardhi ambaye si mwingine bali ni Allah S.W. na kipenzi chake, Mtume Muhammad S.A.W.
Karibuni.
Kwanza kuwa na mpenzi asiekuwa mume wako hairuhusiwi kisheria na imani ya kiislam.Swali jaman nilikuwa na mpenzi muislamu nikiwa period haniruhusu kushika kanzu zake hii maana yake Nini?
Swali jaman nilikuwa na mpenzi muislamu nikiwa period haniruhusu kushika kanzu zake hii maana yake Nini?
Asalam àleykum..
Mimi ni kijana wa kiislam Je kutumia maneno kama baby , honey, my love na mengine yenye lengo la kumaanisha ni wapenzi hali ya kuwa sijamtolea barua ikiwa nimefunga funga yangu itaswii?..
Je ikiwa nimeshamtolea barua na nimejibiwa kuwa nimekubaliwa kumuoa kutumia maneno kama hayo funga yangu itaswii?
Nawe pia Ramadhan Kareem
Angalau mwezi huu bei itashuka, walaji kwa sasa watakuwa wachacheNita miss kitimoto wakatihuu wa mfungo yaani sijui nisifunge
Ramadhan kareem maana yake nini mkuu?Sema "Ramadhan Mubaraak" au "Ramadhan Sharif" au "Ramadhan Adhwiim" usiseme "Ramadhan Kareem" tamko hili halina asili.
Ramadhan kareem maana yake nini mkuu?
Naam, hapa iko faida, kwa maana kuna kukumbushana na pia kuna kuamrishana mema na kukatazana mabaya.Humu sababu kuna waislamu wengi ndio wanahusika,kuna makosa nayaona kwa baadhi ya watu,makosa katika matumizi ya emoj na baadhi ya matamko.
Matamshi na emoj,nasema yapo kimakosa au watu tunakosea sababu hayana asili.
Mathalani matumizi ya tamko "Ramadhani Kareem" hili tamko halikuthibiti yaani halina asili na limezuliwa,kwahiyo awla kutumia tamko au matamko yenye asili ili kuhuisha mafundisho ya mbora wetu mtukufu wa darja,mtume Muhammad amani ya Allah iwe jui yake. Ina faa kusema "Ramadhan al Mubaraakk"
Hii emoj ya "mikono" si katika asili ya uislamu,kuna mwanamama nineona ametumia huko juu,huyu Shadeeya .
Naendelea kupata faida...
Mkuu, uislam ni kufuata maamrisho na kuacha makatazo ya Allah, na si kufuata matamanio ya nafsi yako.Mkuu mimi ni muislamu sema kuna rafikiyangu alinionjesha kitimoto yani natamani kuachakula lakini siwezi kabisa huyu mdudu nimtam sana aise
Kuna katazo gani la kutumia emoji ya mikono ?Humu sababu kuna waislamu wengi ndio wanahusika,kuna makosa nayaona kwa baadhi ya watu,makosa katika matumizi ya emoj na baadhi ya matamko.
Matamshi na emoj,nasema yapo kimakosa au watu tunakosea sababu hayana asili.
Mathalani matumizi ya tamko "Ramadhani Kareem" hili tamko halikuthibiti yaani halina asili na limezuliwa,kwahiyo awla kutumia tamko au matamko yenye asili ili kuhuisha mafundisho ya mbora wetu mtukufu wa darja,mtume Muhammad amani ya Allah iwe jui yake. Ina faa kusema "Ramadhan al Mubaraakk"
Hii emoj ya "mikono" si katika asili ya uislamu,kuna mwanamama nineona ametumia huko juu,huyu Shadeeya .
Naendelea kupata faida...
Tuamrishane mema na kukatazana mabaya, mpe nasaha badala ya kuzidi kumsukumiza kwenye uasi, kwani yeye kuacha uovu kwa ushawishi wako ni jambo bora sana kwako pia.Basi wewe endelea kula mkuu wala usijipe shida.
Tena kama "utafunga" basi muda wa futari au daku unapata na kitimoto chako saaafii.
Kama nilivyoandika awali...'mwisho wa yote wewe ndio utawajibika kwa matendo yako'.
Mimi sifungi ni mkristo.Nawe pia Ramadhan Kareem
Demiss huyo alikuwa hajitambui, kwa maana kaona wewe kushika kanzu yake ni tatizo lakini mahusiano yenu yaliyo nje ya sheria kaona ni poa tu!, huyu hajitambui na pia haujui uislam wake pia.Swali jaman nilikuwa na mpenzi muislamu nikiwa period haniruhusu kushika kanzu zake hii maana yake Nini?
Huyo jamaa hayupo hapa kwa ajili ya kujifunza mkuu bali kufanya mzaha na kuharibu maudhui ya mjadala.Tuamrishane mema na kukatazana mabaya, mpe nasaha badala ya kuzidi kumsukumiza kwenye uasi, kwani yeye kuacha uovu kwa ushawishi wako ni jambo bora sana kwako pia.