Jamaniii mamy karibu kwenye UislamMimi sifungi ni mkristo.
Naomba uniambie maana ya misamiati kareemSema "Ramadhan Mubaraak" au "Ramadhan Sharif" au "Ramadhan Adhwiim" usiseme "Ramadhan Kareem" tamko hili halina asili.
Kuna katazo gani la kutumia emoji ya mikono ?
Kuaema halina asili peke yake haitoshi kuonesha haifai.
Kuna katazo gani kutumia emoji za mikono mkuu?
Nazidi kujifunza Mkuu natumai wengi wamekuelewa maana hata mie nilikuwa miongoni mwa watumiaji wa hilo neno na nilikuwa naona sawia tu.Karibu sana
Ni kuelimishana tu kwani watu wanakosea tu
Kuna wengi wanatumia neno Juma'a Kareem lakini nalo ni kosa pia Kareem ni Allah na inatakiwa iwe Ijumaa (Juma'a) Mubarak
(Kwa manufaa ya wote Dada)
Naomba uniambie maana ya misamiati kareem
Kuuliza si ujinga Mkuu nilipaswa niandike nini?
Ooooh.Ulitakiwa kuandika kilicho bora zaidi.
Manshaa AllahNazidi kujifunza Mkuu natumai wengi wamekuelewa maana hata mie nilikuwa miongoni mwa watumiaji wa hilo neno na nilikuwa naona sawia tu.
Ili mradi tu sio mke wako wa halili basi sio jambo lenye kupendeza.Asalam àleykum..
Mimi ni kijana wa kiislam Je kutumia maneno kama baby , honey, my love na mengine yenye lengo la kumaanisha ni wapenzi hali ya kuwa sijamtolea barua ikiwa nimefunga funga yangu itaswii?..
Je ikiwa nimeshamtolea barua na nimejibiwa kuwa nimekubaliwa kumuoa kutumia maneno kama hayo funga yangu itaswii?
Uislam unakwenda kwa hoja ya ayat na hadith za mtume.Kuna katazo gani la kutumia emoji ya mikono ?
Kuaema halina asili peke yake haitoshi kuonesha haifai.
Kuna katazo gani kutumia emoji za mikono mkuu?
Ndugu yangu hadithi hii ni sahih kabisa ila hapa kwenye emoji huwezi itumia hii.Rejea hadithi ya mtume amani ya Allah iwe juu yake isemayo "Mwenye kujifananiza na kaumu fulani,basi na yeye ni miongoni mwao"
Naaam sasa kusema ramadhan kareem (si nikusema ni heri ya kutakiana ukarimu/wema/huruma ndani ya mwezi huu)Karimu ni jina lenye asili ya kiarabu,ambalo kwa Kiswahili,hutafasiriwa kwa tamko "Ukarimu", lenye maana :
ukarimu
NOMINO wingi ukarimu
- 1
utoaji vitu au mali kwa kukaribisha watu au kuwasaidia wanaohitaji msaada bila ya malipo.
Visawe
fadhila, hisani
Maana hiyo kilugha haikai sambamba na mwezi ikaleta maana.
Hata ulicho pinga sielewi naona umekubali comment yangu kwenye mwenzi Mtukufu tunakumbushwa kutoa Swadaka hapo Umeandika kwenye comment yako nilijua neno Karim ni lugha chafu kama ni hivyo acha nilitumie RAMADHAN KAREEMKarimu ni jina lenye asili ya kiarabu,ambalo kwa Kiswahili,hutafasiriwa kwa tamko "Ukarimu", lenye maana :
ukarimu
NOMINO wingi ukarimu
- 1
utoaji vitu au mali kwa kukaribisha watu au kuwasaidia wanaohitaji msaada bila ya malipo.
Visawe
fadhila, hisani
Maana hiyo kilugha haikai sambamba na mwezi ikaleta maana.
Yaani hata anacho pinga sielewi hata huko kwenye chimbuko la Uislam wanatamkiana Ramadhan KareemNaaam sasa kusema ramadhan kareem (si nikusema ni heri ya kutakiana ukarimu/wema/huruma ndani ya mwezi huu)
Aje kutuelewesha vizuri kwanza mimi hili neno Karim sijamuelewa iweje iwe halitakiwiNdugu yangu hadithi hii ni sahih kabisa ila hapa kwenye emoji huwezi itumia hii.
Emoji ni katika maendeleo tu ya sayansi na technlojia na uislam unakubaliana na hali hii.
Hakuna uharamu wowote iwe kutoka kwenye qur an, hadith wala fatawa za ahlul ilmu