nilitaka nikujibu ila acha aje akujibu mwenywe nisije nikakosea 🤣 🤣Akhy..
Najaribu kutaka kuelewa maana ya maneno yaliyo kwenye sign yako nashindwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Asalaam Aleykum ndugu zangu wote katika imani,
Kuelekea mfungo mtukufu wa mwezi wa Ramadhan, waislamu wote ninawaomba tukutane humu ili tuelimishane mawili matatu kuhusu mwezi huu.
Lengo kuu ni kuweza kufahamu yale yote aliyotufunza kipenzi chetu mtume Muhammad S.A.W kuhusu mwezi huu.
Vitu gani tukifanya vitaharibu swaumu zetu, vitu gani tukifanya vitaongeza thawabu zinazopatikana katika kufunga, ipi hukumu kwa wale wasiofunga na yapi malipo anayopewa mja ambaye anafunga swaumu kikamilifu
Pia tuweze kujifunza neema zinazopatikana kwenye usiku wa lailatul qadr, usiku ambao umebarikiwa kuliko siku elfu moja.
Kwa haya machache ninapenda kutanguliza shukrani zangu za dhati kwa muumba wa mbingu na ardhi ambaye si mwingine bali ni Allah S.W. T na kipenzi chake, Mtume Muhammad S.A.W.
Karibuni.
Nimesavr hii post yako, lakini app inasumbua kwenye kuquoteOkey itakapokubali tutaona mkuu.
"Fuata ubora mafanikio yatakuja yenyewe"Akhy..
Najaribu kutaka kuelewa maana ya maneno yaliyo kwenye sign yako nashindwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wenzetu wanaona kama Saudi arabia hwakosei.Yawezekaka isiwe 30 kama walikosea mahesabu ya mwezi wa shaabani
Mimi binafsi sijawahi kuona mwezi 30 usionekane kwa macho ya kawaida
Sent using Jamii Forums mobile app
shukrani sana mkuuRamadan Kareem tu all Muslims.
Kukosoa kuwe kwa hoja zenye maana na kueeweka,na sio kukosoa kwa chuki tu kwa kuwa ni saudia.Kuna wenzetu wanaona kama Saudi arabia hwakosei.
"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
Kwahiyo wakosoaji tuna chuki na Saudia?Kukosoa kuwe kwa hoja zenye maana na kueeweka,na sio kukosoa kwa chuki tu kwa kuwa ni saudia.
Wale ni binadamu kama sisi ila wanapokuwa sawa wapewe haki yao wanapokosea hali kadhaalika.
Katika hili la mwezi saudia hawalazimishi nchi zingine wawafuate wao na wao hawwfuati Nchi zingine kabisa.na hayo ni kwa kujitoa lawamani kuwa watu wanafuata saudia wanapotoshwa,saudia hawwtaki wafuatwe na mtu.
Hya ni mambo mukhtalafun ndani yake.
Kwahiyo wakosoaji tuna chuki na Saudia?
Mbali na swala la mwezi wa muandamo kwa ajili ya Ramadhan ambalo kwao kama ulivyosema hawataki kufuatwa, na vipi kuhusu ibada nyingine ambazo msingi unakuja hapo hapo kwenye mwezi na utekelezwaji wake unafanyikia Saudia vipi napo wasifuatwe?Hatuna chuki na Saudia kwa vile hata kama iweje nguzo ya tano ya Uislam utekelezwaji wake ni huko huko Saudia hakuna kwingine.
"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
AiseeKuja hapa kutaka kujuwa nini cha kufanya ili utende madhambi kunaharibu thaumu yako. Hivyo badili dini uwe mkristo uishi maisha mazuri zaidi.
Kwa muda huu wa futuru,, jua linakuwa limekwisha kuzama kweli???