Anotherperson
JF-Expert Member
- Jan 8, 2014
- 601
- 672
Chai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndugu yangu nitumie mie nazihitaji ntashukuruNaomba nitoe Swadaqa yangu ya Mwez mtukufu kwenu ndugu zangu ktk Iiman.
Mwenye kuhitaji darasa za tafsir ya Qur'an za Sheikh Msellem Ally msellem anicheki PM..
Nakuhakikishia hutojuta na utanufaika sana kupitia audio hzo..
Sent using Jamii Forums mobile app
nitumie namba yako ya whtsp PMndugu yangu nitumie mie nazihitaji ntashukuru
Acha Uongo wewe...."Fungeni kwa kuuona mwezi na mfungue kwa kuuona pia", ukifuatilia hadithi mbali mbali za mtume utagundua kwamba katika hayo mafundisho yake kuna kitu kuuona, mtume ametuachia Sunna ambapo ni kufunga kwa kusikia ikiwa mwezi umeonekana kokote kule ulimwenguni. Lakini swala linalokuja ni kwamba sisi na Saudia tupo katika longitude moja (Zone C) kwa hiyo kuna ufanano wa masaa na kitu kama hicho, lakini linapokuja swala la mwezi Saudia wanakuwa wa kwanza kuuona, kwa vile wanatumia vifaa vya kutizamia mwezi kitu ambacho mimi sikubaliani nacho moja kwa moja kwani kwa siku ya jana mwezi ulikuwa ndio umekuwa kwa 0.2% ambapo sio wa kuonekana
View attachment 1428992
na siku ya leo utakuwa umekuwa kwa 3.5% ambapo ni wenye kuonekana.
View attachment 1428994
Kumbuka pia hata mwaka jana Saudia hao hao waliomba radhi kwa kuwalisha watu mchana wa Ramadhan na wakalipa fidia.
"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
Sheria ya Dinicareem amekujibu kisayansi zaid inabidi ukubali yupo sahih
mwakani usifate wa saudia
itakuwa umenielewa vibaya mwalimuMungu hana haja na kundi la WAISLAMU kwani waweza kuwa muislamu kisha ukawa mlevi, mchawi, mzinifu, mwizi nk
Haya maneno yako ndugu yangu
Ni Mabaya sana
Fahamu tu
Huwezi kuwa Mcha Mungu,mpaka Uwe Muislam
Huwezi kuuwa Mu-umin,mpaka uwe Muislam
Uislam ndio nguzo Mama katika zote
Ukipanda juu zaidi,ni utakutana na Daraja la
IMAAN na IHSAAN
Ukishuka Chini ya Uislam,utakutana na Daraja la
UNAFIKI
UKAFIRI
TANBIH
Tusiseme kama hatujui,Ukimya wako huwezi jutia,Bali neno lako laweza kukutia hatiani
بارك الله فيكم
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo hivyo,hapa Kuna eneo ambalo tumelitenga kwa ajiri ya swala hasa watu was Mombasa hulitumia kuswali.futari tunauza elfu 3Wasafiri watakaopenda kuswali waje kuswalia hapo Msata Hotel halafu mnawauzia futari kwa sh. 3000,
Kama sijaelewa nieleweshe.
Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
aliposema Mtume saw itafuteni elimu hata ikiwa china alimaanisha pia tujifunze sayansi, ukiijua sayansi ndo utamjua na kumuelewa Mungu vizuri zaidi, japokuwa quran tukufu ndo msingi wa elimu zote
careem amekujibu kisayansi zaid inabidi ukubali yupo sahih
mwakani usifate wa saudia
nimekuelewa mkuuSasa huoni kama saudia wanaitumia sayansi hiyo hiyo kwa kutumia kifaa cha kisayansi kuutafuta mwezi ?
Au watumie sayansi kupinga tuu na sio kuitumia katika kusapoti mkuu.
Inakuwaje sayansi ya kutumia simu kuwasiliana na ndugu yako wa kigoma ukiwa dar mkasikiana unaikubali sayansi hii ilhali kwa masikio ya kawaida huwezi kumsikia hata kidogo baina ya kigoma na dar,hii umeikubali.
Mbona sayansi ile ya kutumia vifaa vya kisayansi kuona mwezi ambao hauonrkani kikawaida unaikataa ?
nimekuelewa mkuu
Haina noma mkuu.
Muhimu haya mas'ala ni khilaafiyyah..
Wanachuoni wametofautiana mnoo juu ya mambo ya mwezi.
Kwa hyo haitakiwi kukinzana na kugombana.
Watu wa fiqhi wanasema..
لا ينكر في ما يختلف فيه ، لاكن ينكر في ما يجمع عليه.
Hapakatazwi kufanya moja kati ya yale ambayo wametofautiana ulamaa,lakini panakatazwa kwenda kinyume na waliyokubaliana maulamaa.
SAUDIA ARABIA MWEZI WALIUTAFUTA KWA DARUBINIS
Sio sio kweli kwamba wanaangalia mwezi kwa vifaa na wanawazuoni pia wanakataa kuuungalia mwezi kwa vifaa na tunazo fatuaa za wanazuoni wa kisaudia wanakataa kuangalia mwezi kwa vifaa na hilo la kulipa fidia pia sio la kweli nakutumia na uthibitisho na hivyo vifaa unavyosema ni vifaa gani
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Nimefurahi sana Ramadhan ya mwaka huu naskia wanyamwezi wote wamerudi kwao. Zanzibar hotel zote za kitalii zimefungwa kwaio kutokuwepo kwa hawa majamaa wa kibara kumeifanya zanziba kuwa shuari kabisa i wish ningekueko Zenji ramadhani ya mwaka huu