Ramadhan Special Thread

Ramadhan Special Thread

بسم الله الرحمن الرحيم​

اللهم انت الملك، لااله الا انت، انت رب وان عبدك، الظلمت نفسي وعترفت بالذنبي، فغفرلي ذنوبي جميع، انه الا يغفر الذنوب الا انت، وحدني لاحسن الاحلاك، لا يهدي لحسنها الا انت، وصرف عني سياهي لا يصرف عني سياهي الا انت، لبيك وسعديك، والحير كله بيديكا، والشر ليس اليكا، انبك واليكا، تباركت ربنا وتعليكا، نستغفروك واتوبي اليكا.
Bimsillahi Rrahmani Rrahiim

Allahumma antal malik, La ilaha illa anta, Anta rabbi wa ana abduka, Dhwalamtu nafsii waataraftu bidhanbii, Faghfir lii dhunubii jamiia, Innahu la yaghfir dhunub illa anta, Wahdinii liahsanil akhlak, La yahdi lihusniha illa anta, Wasrif anni sayiaha laa yasrif anni sayiaha illa anta, Labbaika wasaadayka, Walhkhayra kullahu biyadayka, Wash sharu laysa ilayka, Anabika wailayka, Tabarakta Rabbana wataalayka, Nastaghfiruka waatubu ilayka.
manchoso

"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
 
Bimsillahi Rrahmani Rrahiim

Allahumma antal malik, La ilaha illa anta, Anta rabbi wa ana abduka, Dhwalamtu nafsii waataraftu bidhanbii, Faghfir lii dhunubii jamiia, Innahu la yaghfir dhunub illa anta, Wahdinii liahsanil akhlak, La yahdi lihusniha illa anta, Wasrif anni sayiaha laa yasrif anni sayiaha illa anta, Labbaika wasaadayka, Walhkhayra kullahu biyadayka, Wash sharu laysa ilayka, Anabika wailayka, Tabarakta Rabbana wataalayka, Nastaghfiruka waatubu ilayka.
manchoso

"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
Mola wetu Wewe Ndiye Mfalme, hakuna mwengine ila Wewe tu. Wewe Ndie Mola wetu Mlezi na sisi ni waja Wako. Tumezidhulumu nafsi zetu na sisi ni wenye dhambi. Basi utusamehe sote dhambi zetu, kwani hakuna wa kusamehe dhambi ila Wewe


Nimejaribu japo misyari michache ya mwanzo😀😀😀
 
Mola wetu Wewe Ndiye Mfalme, hakuna mwengine ila Wewe tu. Wewe Ndie Mola wetu Mlezi na sisi ni waja Wako. Tumezidhulumu nafsi zetu na sisi ni wenye dhambi. Basi utusamehe sote dhambi zetu, kwani hakuna wa kusamehe dhambi ila Wewe


Nimejaribu japo misyari michache ya mwanzo[emoji3][emoji3][emoji3]
Mwenyezi Mungu wewe ni mfalme, Hakuna Mola apasae kuabudiwa kwa haki isipokuwa wewe, Wewe ndie bwana wangu na mimi ni mja wako, Nimedhulumu nafsi yangu na nakiri kwako nina hatia, Nisamehe madhambi yangu yote hakika hakuna wa kunisamehe dhambi zangu ila ni wewe, Niongoe katika tabia njema kwani hakuna wa kuniongoa katika tabia njema ila ni wewe, Niweke mbali na mabaya kwani hakuna wa kuniweka mbali na mabaya ila ni wewe, Unatoka kwako na uzuri wote u mikononi mwako, Na shari haitokamani nawe, Mimi niko mbele yako Uliyetakasika na Uliyemtukufu, Nakutaka msamaha na natubia kwako.
[emoji120][emoji120][emoji120]

"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
 
Mwenyezi Mungu wewe ni mfalme, Hakuna Mola apasae kuabudiwa kwa haki isipokuwa wewe, Wewe ndie bwana wangu na mimi ni mja wako, Nimedhulumu nafsi yangu na nakiri kwako nina hatia, Nisamehe madhambi yangu yote hakika hakuna wa kunisamehe dhambi zangu ila ni wewe, Niongoe katika tabia njema kwani hakuna wa kuniongoa katika tabia njema ila ni wewe, Niweke mbali na mabaya kwani hakuna wa kuniweka mbali na mabaya ila ni wewe, Unatoka kwako na uzuri wote u mikononi mwako, Na shari haitokamani nawe, Mimi niko mbele yako Uliyetakasika na Uliyemtukufu, Nakutaka msamaha na natubia kwako.
[emoji120][emoji120][emoji120]

"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
Swadakta uko sahihi kabisa mkuu
 
Tunawaalika wasafiri wote ambao watapenda kuswali wakati wakiwa safirini kupitia bagamoyo road tunapatikana msata hotel inaitwa drive in.Futari inapatikana kwa bei ya tsh.3,000/piga 0655 605998 mkuweka order au njoo moja kwa moja tutafurahi kukuhudumia mwezi huu mtukufu.
 
Namsubiri atujibu maana naamini tuko nae nchi moja sasa kwanini afuate nchi ya mbali!

"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
Haya nimekuja kukujibu inshallah kwanza sie tuna utangulizi
Namsubiri atujibu maana naamini tuko nae nchi moja sasa kwanini afuate nchi ya mbali!

"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
bismillah naanza kukujibu kwanza mimi sikutangulia kufunga kabla ya mwezi kuonekana ni makosa makubwa na haizingatiwi bali swaumu yako itakuwa batil kwa kutangulia kufunga kabla ya muda wa kufunga kuingia
Mtume SAW ametutaka tufunge kwa kuonekana kwa mwezi na mwezi umeonekana zaidi ya nchi kumi za kiislam na wamefunga hili swali napaswa nikulize Careem kwa nini waislam dunia wamefunga kwa mafundisho hayo ya mtumeSAW
Kwa nini nyinyi mmechelewa kufunga naomba unijibu swali langu la msingi waislam dunian wamefunga ikiwepo MAKKA NA MADINA kwa nini nyinyi mmechelewa kufunga Shadeeya Sesten Zakazaka Careem njoon mujibu nami nimejibu hoja ya careem
 
Namsubiri atujibu maana naamini tuko nae nchi moja sasa kwanini afuate nchi ya mbali!

"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
Nimejibu tyr
 
Bimsillahi Rrahmani Rrahiim

Allahumma antal malik, La ilaha illa anta, Anta rabbi wa ana abduka, Dhwalamtu nafsii waataraftu bidhanbii, Faghfir lii dhunubii jamiia, Innahu la yaghfir dhunub illa anta, Wahdinii liahsanil akhlak, La yahdi lihusniha illa anta, Wasrif anni sayiaha laa yasrif anni sayiaha illa anta, Labbaika wasaadayka, Walhkhayra kullahu biyadayka, Wash sharu laysa ilayka, Anabika wailayka, Tabarakta Rabbana wataalayka, Nastaghfiruka waatubu ilayka.
manchoso

"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
shukrani🙏
 
Haya nimekuja kukujibu inshallah kwanza sie tuna utangulizi

bismillah naanza kukujibu kwanza mimi sikutangulia kufunga kabla ya mwezi kuonekana ni makosa makubwa na haizingatiwi bali swaumu yako itakuwa batil kwa kutangulia kufunga kabla ya muda wa kufunga kuingia
Mtume SAW ametutaka tufunge kwa kuonekana kwa mwezi na mwezi umeonekana zaidi ya nchi kumi za kiislam na wamefunga hili swali napaswa nikulize Careem kwa nini waislam dunia wamefunga kwa mafundisho hayo ya mtumeSAW
Kwa nini nyinyi mmechelewa kufunga naomba unijibu swali langu la msingi waislam dunian wamefunga ikiwepo MAKKA NA MADINA kwa nini nyinyi mmechelewa kufunga Shadeeya Sesten Zakazaka Careem njoon mujibu nami nimejibu hoja ya careem
"Fungeni kwa kuuona mwezi na mfungue kwa kuuona pia", ukifuatilia hadithi mbali mbali za mtume utagundua kwamba katika hayo mafundisho yake kuna kitu kuuona, mtume ametuachia Sunna ambapo ni kufunga kwa kusikia ikiwa mwezi umeonekana kokote kule ulimwenguni. Lakini swala linalokuja ni kwamba sisi na Saudia tupo katika longitude moja (Zone C) kwa hiyo kuna ufanano wa masaa na kitu kama hicho, lakini linapokuja swala la mwezi Saudia wanakuwa wa kwanza kuuona, kwa vile wanatumia vifaa vya kutizamia mwezi kitu ambacho mimi sikubaliani nacho moja kwa moja kwani kwa siku ya jana mwezi ulikuwa ndio umekuwa kwa 0.2% ambapo sio wa kuonekana
Screenshot_20200424-174405.jpg

na siku ya leo utakuwa umekuwa kwa 2.5% ambapo ni wenye kuonekana.
Screenshot_20200424-172236.jpg

Kumbuka pia hata mwaka jana Saudia hao hao waliomba radhi kwa kuwalisha watu mchana wa Ramadhan na wakalipa fidia.

"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
 
"Fungeni kwa kuuona mwezi na mfungue kwa kuuona pia", ukifuatilia hadithi mbali mbali za mtume utagundua kwamba katika hayo mafundisho yake kuna kitu kuuona, mtume ametuachia Sunna ambapo ni kufunga kwa kusikia ikiwa mwezi umeonekana kokote kule ulimwenguni. Lakini swala linalokuja ni kwamba sisi na Saudia tupo katika longitude moja (Zone C) kwa hiyo kuna ufanano wa masaa na kitu kama hicho, lakini linapokuja swala la mwezi Saudia wanakuwa wa kwanza kuuona, kwa vile wanatumia vifaa vya kutizamia mwezi kitu ambacho mimi sikubaliani nacho moja kwa moja kwani kwa siku ya jana mwezi ulikuwa ndio umekuwa kwa 0.2% ambapo sio wa kuonekana
View attachment 1428992
na siku ya leo utakuwa umekuwa kwa 3.5% ambapo ni wenye kuonekana.
View attachment 1428994
Kumbuka pia hata mwaka jana Saudia hao hao waliomba radhi kwa kuwalisha watu mchana wa Ramadhan na wakalipa fidia.

"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
ukhuty njoo huku Careem anakuita
 
"Fungeni kwa kuuona mwezi na mfungue kwa kuuona pia", ukifuatilia hadithi mbali mbali za mtume utagundua kwamba katika hayo mafundisho yake kuna kitu kuuona, mtume ametuachia Sunna ambapo ni kufunga kwa kusikia ikiwa mwezi umeonekana kokote kule ulimwenguni. Lakini swala linalokuja ni kwamba sisi na Saudia tupo katika longitude moja (Zone C) kwa hiyo kuna ufanano wa masaa na kitu kama hicho, lakini linapokuja swala la mwezi Saudia wanakuwa wa kwanza kuuona, kwa vile wanatumia vifaa vya kutizamia mwezi kitu ambacho mimi sikubaliani nacho moja kwa moja kwani kwa siku ya jana mwezi ulikuwa ndio umekuwa kwa 0.2% ambapo sio wa kuonekana
View attachment 1428992
na siku ya leo utakuwa umekuwa kwa 3.5% ambapo ni wenye kuonekana.
View attachment 1428994
Kumbuka pia hata mwaka jana Saudia hao hao waliomba radhi kwa kuwalisha watu mchana wa Ramadhan na wakalipa fidia.

"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
Kam mwak jn walifany hivyo lkn jn ulionekan karibu Nchi nying kidog na sio saudia peke yake waliouthibitisha mwezi hiv mfan dar usipouna mwez na mtwar ukaonekan hautafunga mpk dar mwez utoke
 
Kam mwak jn walifany hivyo lkn jn ulionekan karibu Nchi nying kidog na sio saudia peke yake waliouthibitisha mwezi hiv mfan dar usipouna mwez na mtwar ukaonekan hautafunga mpk dar mwez utoke
Mwezi ulikuwa na asilimia 0.2, ni ndogo sana katika ukuaji wake kuonekana. Kinachofanyika ni kutumia vifaa kama telescope, haina shaka umaweza kuwa sawa lakini ni kufuatana na Sunna ya mtume.
Screenshot_20200424-174405.jpg

[emoji115][emoji115]Hii ni jana
[emoji116][emoji116] hii leo ukiwa na 3.5% ya ukuaji wake
Screenshot_20200424-172236.jpg

Kila la kheri tukutane kwenye kufungua IN SHAA ALLAH. SWAUM MAQBUL [emoji120][emoji120][emoji120]


"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
 
Back
Top Bottom