Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,710
- 76,243
Ahsante dada. [emoji120][emoji120][emoji120]Bro leo ni mwezi 06 Sha'ban.
ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹ [emoji377]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante dada. [emoji120][emoji120][emoji120]Bro leo ni mwezi 06 Sha'ban.
MashaallahBro leo ni mwezi 06 Sha'ban.
🙏🙏
🙏🙏🙏🙏 thanks mtani.Mtani Sanchez magoli pitia na huku.
Nisha subscribe kabisa mtaniMtani Sanchez magoli pitia na huku.
Saafi sana Mtani.Nisha subscribe kabisa mtani
Tarehe 24 au 25 April ndizo siku tarajiwa kuanza mfungo wa mwezi mtukufu wa ramadhani..Leo ni 24 shaaban, bado siku kadhaa kuingia ramadhani inshaallah.
Leo situmekamilisha Shaaban 30 lknhivi waumini vipi kesho kufunga au bado mwezi haujaandama?
asante kwa taarifa nikadhan kesho ndo 30Leo situmekamilisha Shaaban 30 lkn
Tumekamilisha leoasante kwa taarifa nikadhan kesho ndo 30
nashukuru sana na mie ulafi umenijaa nilikuwa napiga hesabu hapa asubuh kesho nile chapati ngap 🙂 🙂Tumekamilisha leo
Sie Leo tumeanza alihamdulillahnashukuru sana na mie ulafi umenijaa nilikuwa napiga hesabu hapa asubuh kesho nile chapati ngap 🙂 🙂
Mwezi umeuonea wapi Ukhuty?Sie Leo tumeanza alihamdulillah
Saudia imetangaza halafu jan mim nilikamilisha shaaban30hivi leo ni ramadhan moj nyie si bado viongozi wenu wa bakwata hawajamitangazia so mnasubir muambiweMwezi umeuonea wapi Ukhuty?