Ramadhani Brothers kukutana na rungu kodi zaidi ya 180M kwenye 600M waliyoshinda

Ramadhani Brothers kukutana na rungu kodi zaidi ya 180M kwenye 600M waliyoshinda

Screenshot_20240323-042108.jpg
 
Hata huko marekani lazima wanakatwa kodi, hawapewi yote kama unavyoisikia. Hata wanaishinda bahati nasibu marekani hukatwa kodi zote kabla hawajapewa chao.
 
Hawatakiwi kulipa kodi kwa mujibu wa sheria kama wameshalipa marekani.

IMG_7336.jpeg


Article 77(1) ya income tax act inawaruhusu kuwadai kwanza TRA kodi waliyolipa nchi nyingine (kuondoa double taxation) kabla ya kulipa ya Tanzania isichozidi kiwango TRA kitawadai. Sasa kama US walilipa 37% na TRA Inawadai 30% bado tofauti ya 7% worst off.

Kwa mujibu wa sheria hawatakiwi kulipa kodi tena Tanzania unless huko walipotoka wamelipa chini 30% ndio wanafidia deficit.
 
Wale wana walioshinda kule Marekani TRA Tanzania inawasubiri kwa hamu, hela walizoshinda zitakatwa kodi ya 30%, yaani mtu ambae hajaruka sarakasi hata moja anakinga mkono apewe 30%. Akishaichukua wenyewe ndio wagawane 50% each kwenye kilichobaki.

600m-180m inabaki 420m, wakishapata hiyo wakigawana kila mmoja anaondoka na 210.. Yaani kila mmoja anakuwa amemzidi bwana TRA milioni 30 pekee. Wangekuwa watatu TRA angewapiga bao kwenye maokoto. Nafuu itatokea endapo watalipa kodi hela zilikotoka.

Aliyeunda mifumo ya kodi na tawala duniani alichemka kwenye kiwango wanachotakiwa kuchukua mifukoni mwetu. Vilio ni hivi hivi kwenye kodi ya biashara na slip za mishahara, gross inanona ila hapo kati wanakuja TRA na taasisi nyingine za Serikali wanaikausha kila mwezi, bado ukistaafu wanaleta mastori ya vikokotoo.

Ukimaliza yote hayo, njoo kwenye matumizi ya hizo kodi kwenye nchi zetu za dunia ya tatu😎

Ningejiuliza, kule marekani hawalipi kodi kama kulipa kodi ni lazima? kwamba wapate pesa marekani waje walipe kodi Tanzania? pia, kama ikijulikana wamelipa kodi Marekani, wanatakiwa kulipishwa tena mara ya pili hapa Tanzania? kwahiyo watu wakienda kutafuta maisha nje ya nchi walipe kodi kule na wakirudi hapa napo walipishwe mara ya pili? HILI NDILO LINATAKIWA KUWA SWALI, kwanza tu ili watanzania waelewe.
 
Wale wana walioshinda kule Marekani TRA Tanzania inawasubiri kwa hamu, hela walizoshinda zitakatwa kodi ya 30%, yaani mtu ambae hajaruka sarakasi hata moja anakinga mkono apewe 30%. Akishaichukua wenyewe ndio wagawane 50% each kwenye kilichobaki.

600m-180m inabaki 420m, wakishapata hiyo wakigawana kila mmoja anaondoka na 210.. Yaani kila mmoja anakuwa amemzidi bwana TRA milioni 30 pekee. Wangekuwa watatu TRA angewapiga bao kwenye maokoto. Nafuu itatokea endapo watalipa kodi hela zilikotoka.

Aliyeunda mifumo ya kodi na tawala duniani alichemka kwenye kiwango wanachotakiwa kuchukua mifukoni mwetu. Vilio ni hivi hivi kwenye kodi ya biashara na slip za mishahara, gross inanona ila hapo kati wanakuja TRA na taasisi nyingine za Serikali wanaikausha kila mwezi, bado ukistaafu wanaleta mastori ya vikokotoo.

Ukimaliza yote hayo, njoo kwenye matumizi ya hizo kodi kwenye nchi zetu za dunia ya tatu😎

Hakuna namna, ya KAISARI MPE? TRA Tanzania
 
Wale wana walioshinda kule Marekani TRA Tanzania inawasubiri kwa hamu, hela walizoshinda zitakatwa kodi ya 30%, yaani mtu ambae hajaruka sarakasi hata moja anakinga mkono apewe 30%. Akishaichukua wenyewe ndio wagawane 50% each kwenye kilichobaki.

600m-180m inabaki 420m, wakishapata hiyo wakigawana kila mmoja anaondoka na 210.. Yaani kila mmoja anakuwa amemzidi bwana TRA milioni 30 pekee. Wangekuwa watatu TRA angewapiga bao kwenye maokoto. Nafuu itatokea endapo watalipa kodi hela zilikotoka.

Aliyeunda mifumo ya kodi na tawala duniani alichemka kwenye kiwango wanachotakiwa kuchukua mifukoni mwetu. Vilio ni hivi hivi kwenye kodi ya biashara na slip za mishahara, gross inanona ila hapo kati wanakuja TRA na taasisi nyingine za Serikali wanaikausha kila mwezi, bado ukistaafu wanaleta mastori ya vikokotoo.

Ukimaliza yote hayo, njoo kwenye matumizi ya hizo kodi kwenye nchi zetu za dunia ya tatu😎

serikali iliwabia iwapo wana shida youote waende kuongea nao,alisema msigwa katibu mkuu wa wizara ya michezo alipokuwa anawapokea eapoti,nawashauri waende kuongea nae hili suala
 
Sio kweli double taxation haikubaliki
Kila nchi hukata kodi pato unapopatia
Pato lao wamepatia Marekani hivyo kodi italatwa kule

Huwrzi taxation mtu kodi mara mbili kuwa wakija na Tanzania tena unakata haiwezekani
 
Unalipa kodi ili steve nyerere aje kulia kwenye msiba wa kitaifa 😂😂, hao jamaa ni bora wapitie Paris waupe moyo pole bongo warudi na nauli baaas
 
Back
Top Bottom