Ramadhani Kabwili apata timu Rwanda

Ridh1

Member
Joined
Nov 20, 2017
Posts
32
Reaction score
67
Aliyekuwa kipa wa Young African SC(Yanga) Ramadhani Kabwili amesainiwa katika club ya RayonSport(Rwanda) yenye maskani yake Katika jiji la Kigali.

Kabwili amepewa kandarasi ya mwaka mmoja ambayo ataanza kuitumikia katika msimu huu mpya unaoanza.

Kila la kheri kwake kijana

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…