AKILI TATU
JF-Expert Member
- Feb 10, 2016
- 2,659
- 2,827
Kwani mapungufu Yale huwa yanafichikaga..!?Afadhari nayeye kapata team, ili kipaji chake kiendelee.
JAH awe nae zaidi. Akapambane sasa. Na akafiche mapungufu na madhaifu yake.
Watu wengine ugumu wa maisha plus ukosefu wa ajira basi kila mtu anamuona adui yakeKuna vijana wana malezi mabovu sana inaangaza hata katika familia zao kuna makuzi ya ovyo sana
Siku nyingi wako hukuWamebaki watano pale jangwanj
Aache kale kamchezo sasa
KabwilliSiku nyingi wako hukuView attachment 2328990
Sana tu,machoko wanapiga Mbungi kama kawa tu,Watu hawakumbi iaaue ya Sol Campbell kwani?Kuna mchezaji adelayde Austria ni shoga
Na kuna jamaa kigamboni anacheza beki kazi kazi balaa ila ni shoga
Kucheza mpira ndio kunamfanya mtu asiliwe I'm sorry to say you're too young to understand what is going on in the world.wanamsingizia tu,dogo Wala sio choko,
Angekuwa analiwa asingeweza kucheza mpira
Aliyekuwa kipa wa Young African SC(Yanga) Ramadhani Kabwili amesainiwa katika club ya RayonSport(Rwanda) yenye maskani yake Katika jiji la Kigali.
Kabwili amepewa kandarasi ya mwaka mmoja ambayo ataanza kuitumikia katika msimu huu mpya unaoanza.
Kila la kheri kwake kijana
View attachment 2327237
Na Kuna kocha bongo hii wa ligi kuu na yeye anatoa ndogo. Lifestyle ya mpira Ina mengi usiwaone tu wakiwa kwenye ground wamependeza Kwa kutupia jezi Kuna dark side Yao.Kwa nature ya football mazoezi yake ni ngumu sana gay kuhimili
Ninapokubokoa hua unaonaje? Jibu unaloWewe ni mbabe au tepetepe?
Mbona mkali sana kwani wewe umeelewa nini ?Have respect sija ku quote popote sija kutukanana let's talk football behave like a man
Simba walimtimua nyie mnawafuga. Kabwili kawaacha Saba hapo. Joyce naye ndiyo wale waleSiku nyingi wako hukuView attachment 2328990
Yeye mwenyewe alikiri na akataja waliomuingiza kwenye huo ushetaniUtani usivuke mipaka, kumpa mtu tuhuma nzito kama hizo wakati alizikanusha sio sawa
Sijaongelea academy za vijana ni uchafu mtupuNa Kuna kocha bongo hii wa ligi kuu na yeye anatoa ndogo. Lifestyle ya mpira Ina mengi usiwaone tu wakiwa kwenye ground wamependeza Kwa kutupia jezi Kuna dark side Yao.
Safi sana, kijana walikufanyia ubaya sana walitakiwa waangalie ufanisi wako wa kucheza na sio ujinga uleAliyekuwa kipa wa Young African SC(Yanga) Ramadhani Kabwili amesainiwa katika club ya RayonSport(Rwanda) yenye maskani yake Katika jiji la Kigali.
Kabwili amepewa kandarasi ya mwaka mmoja ambayo ataanza kuitumikia katika msimu huu mpya unaoanza.
Kila la kheri kwake kijana
View attachment 2327237
Hapo mbona kama ameukalia halafu anapiga vita?
Wamebaki Nani na nani? [emoji23][emoji23]Wamebaki watano pale jangwanj
Aache kale kamchezo sasa
Joyce naye yumo.Wamebaki Nani na nani? [emoji23][emoji23]