Ramadhani Singano "Methi" anafanyiwa hujuma ama amepata alichotaka Azam?

Ramadhani Singano "Methi" anafanyiwa hujuma ama amepata alichotaka Azam?

Sielewi mpaka sasa hivi mnasema Singano kapotea kwa utafiti upi
 
Hivi kwanini mashabiki wa mchangani mnamlaumu Rama kuondoka wakati mlikua mnamlipa hela mbuzi?
Madai yake hamtimizi,sahii mnafoji.
Bado awapende tu?
Yeye ni Yesu?

Ups and down kwa mchezaji yeyote zipo.

Ipo siku mnaomkebehi Rama,mtamwamkia kwa heshima.

Either mtamuheshimu yeye au mtaheshimu kiwango chake
 
Hivi kwanini mashabiki wa mchangani mnamlaumu Rama kuondoka wakati mlikua mnamlipa hela mbuzi?
Madai yake hamtimizi,sahii mnafoji.
Bado awapende tu?
Yeye ni Yesu?

Ups and down kwa mchezaji yeyote zipo.

Ipo siku mnaomkebehi Rama,mtamwamkia kwa heshima.

Either mtamuheshimu yeye au mtaheshimu kiwango chake
Yebo yebo utawajua tuu maoni yao yalivyo! hapo kinaangaliwa kiwango cha mchezaji kufa sio timu aliyoenda mbona tambwe hajuzungumziwa hapa na Simba tunajirahumu kosa tulilolifanya kumwacha huru! mda mwingine hacha yale mambo yanayofanyika pale bonde la mpunga la jangwani
 
Huyu dogo alikua ni mpuuzi kuhama simba na ategemee kurudi ligi za mchangani
Wengi wa wachangiaji mnaliangalia swala la Mesi kwa upande mmoja, kwamba amerubuniwa na akakubali kuwacha mbachawe kwa masala upitao. Ili kumtendea haki yeye na uzi huu, ni vyema tukaangalia pia upande wa pili wa kadhia yake: kwamba alighushiwa saini kwenye mkataba wake ili aongeze mwaka mmoja zaidi. Tunas aha kwamba Simba walikataa suluhu eti kwa sababu aliongea na waandishi wa habari. Ni vyema kuijadili hoja yake kwa kuangalia pande zote mbili.
Uvumilivu, sawa. Shaffih Dauda, sawa. Kipaji, sawa. Lakini je, inavumilika kulelewa kipaji chako kwa kudhulumiwa, hata kama Shaffih Dauda akikaa kimya?
 
Wengi wa wachangiaji mnaliangalia swala la Mesi kwa upande mmoja, kwamba amerubuniwa na akakubali kuwacha mbachawe kwa masala upitao. Ili kumtendea haki yeye na uzi huu, ni vyema tukaangalia pia upande wa pili wa kadhia yake: kwamba alighushiwa saini kwenye mkataba wake ili aongeze mwaka mmoja zaidi. Tunas aha kwamba Simba walikataa suluhu eti kwa sababu aliongea na waandishi wa habari. Ni vyema kuijadili hoja yake kwa kuangalia pande zote mbili.
Uvumilivu, sawa. Shaffih Dauda, sawa. Kipaji, sawa. Lakini je, inavumilika kulelewa kipaji chako kwa kudhulumiwa, hata kama Shaffih Dauda akikaa kimya?
Hiyo kesi hakushinda Bali kilichompa ushindi no simbabkuvunja mkataba kwa kutompa nyumba ya kuishi nadhani namalipo Fulani walikuwa hawamlipi...
 
"Mwanamke kama hataki, mwache aende zake, usimbake" Selemai Msindi
 
Huyu Messi ni kati ya top ten akishikia number 2 ya wajinga duniani!!
 
Hiyo kesi hakushinda Bali kilichompa ushindi no simbabkuvunja mkataba kwa kutompa nyumba ya kuishi nadhani namalipo Fulani walikuwa hawamlipi...
Sawa, hoja yangu kuu ni kwamba tusijadili swala hili kwa kutizama kasoro za Messi peke yake, tujadili huku tukiangalia pia na sababu zilizochaniga yeye kuhama Simba.
 
Sawa, hoja yangu kuu ni kwamba tusijadili swala hili kwa kutizama kasoro za Messi peke yake, tujadili huku tukiangalia pia na sababu zilizochaniga yeye kuhama Simba.
Ni simba kutotimiza mashariti ya mkataba huku Mesi akijiona nibmmoja yavwachezaji wakubwa ndani ya simba na simba wakimuona nibmchezaji wa kawaida....Kuahidiwa pesa nzuri ndani ya Azam FC..Magazeti na akina shaffi Dauda...
 
Ni simba kutotimiza mashariti ya mkataba huku Mesi akijiona nibmmoja yavwachezaji wakubwa ndani ya simba na simba wakimuona nibmchezaji wa kawaida....Kuahidiwa pesa nzuri ndani ya Azam FC..Magazeti na akina shaffi Dauda...
Naam! Hapo sasa ndio mwanzo hasa wa mjadala wenyewe. Bila ya shaka pande zote mbili zina mchango kwa yanayomtokezea Singano hivi sasa. Maswala ya msingi kujiuliza ni (1) Baina ya uhaba wa fedha na mkataba tata alipokuwa Simba ingawa kiwango/kipaji chake kilionekana na wingi wa fedha na mkataba anaouridhi hivi sasa Azam ingawa kipaji/kiwango chake hakionekani, ipi ni hali bora zaidi! (2) Nini mchango wa kila upande (Messi na Simba) katika hali hii ya sasa ya Messi (yaani ni nani wa kulaumiwa?).
 
Bora angeenda Stend kiwango chake kingethaminika.Azam na Yanga ni makampuni yanayoharibu soka Tz.wao ni kuhonga tuu ili washinde.
 
Azam walimchukua kwa sababu kila wakikutana na simba lazima singano awafunge.
 
Huyu dogo wasingemiuita Messi angebaki Simba... Tatizo jina FAKE limemponza kwa kuvimba kichwa.
 
Back
Top Bottom