Sodoku
JF-Expert Member
- Feb 3, 2016
- 1,271
- 2,903
Huyu kijana alikuwa na kipaji kizuri cha mpira. Akahamia azam ambako lengo lake nadhan lilikuwa ni ili akakuze kipaji.
Labda kwa anayefaham atupe takwimu toka ahamie azam huyu mchezaji ameweza kuendeleza kipaji chake?hata leo kwa hii mechi sijamwona bado.
Labda kwa anayefaham atupe takwimu toka ahamie azam huyu mchezaji ameweza kuendeleza kipaji chake?hata leo kwa hii mechi sijamwona bado.