GEMBESON
JF-Expert Member
- Apr 15, 2012
- 1,463
- 3,193
Kwa kweli tayari. Kuna ushindi utatokea siku tatu zijazo na mvua itanyeshaKafara tayari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kweli tayari. Kuna ushindi utatokea siku tatu zijazo na mvua itanyeshaKafara tayari
Kafara ni lazima awe mtu wa karibu na klabu kwa wakati hu, mfano Ally Kamwe alivyozimia akarudishwa. Kafara haiwezi kuwa kwa mchezaji mstaafu asiye na mchango wowote kwa wakati huoKafara tayari
Huyu kacheza na akina Matola hawezi kuwa na umri wa miaka 39 tu. Labda ungeweka 49.Yule beki kisiki wakushoto Ramadan Wasso amefariki dunia Leo nchini Burundi akiwa na miaka 39.....
Alikuwa sehemu ya kikosi Cha Simba sc kilichotinga makundi cafcl 2003.
---
Beki wa zamani aliyekipiga Simba SC na Yanga SC, Ramadhan Waso, raia wa Burundi amefariki dunia leo Jumatatu Machi 25, nchini kwao.
Beki huyo aliyejiunga Simba mwaka 2000 na baadae kujiunga na Yanga, alikuwa sehemu ya kikosi cha mnyama kilichoitoa Zamalek mwaka 2003 kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Simba SC yaomboleza kifo cha mkongwe huyo.