Ramani kali ya nyumba toleo jipya

Ramani kali ya nyumba toleo jipya

Na huo ndo ujenzi wa kisasa, mtu unaweka ramani ya Ofisi za Halmashauri unasema ni nyumba ya kuishi? Nyumba ina chumba cha kulala baba na mama, chumba cha watoto wakubwa wa kiume, cha watoto wadogo wa kiume, cha watoto wadogo wa kike, cha watoto wadogo wa kike, seble, dinning room, chumba cha maongezi, chumba cha kusomea, jiko, store, choo na bafu 3, chumba cha wageni.
Duh!
Hakika ulichosema na ndivyo inatakiwa nyumba iwe ivyo.
Ila kwa sisi makapuku wengi uko ni mbali sana mkuu.
Mtu anapambana apate angalau vyumba viwili vya kuficha watoto wake wasipigwe na jua,mvua,baridi.choo kinakuwa nje.
mambo ya master room,dining,kitchen n,k ni"jitihada aishindi kudra"
 
Na huo ndo ujenzi wa kisasa, mtu unaweka ramani ya Ofisi za Halmashauri unasema ni nyumba ya kuishi? Nyumba ina chumba cha kulala baba na mama, chumba cha watoto wakubwa wa kiume, cha watoto wadogo wa kiume, cha watoto wadogo wa kike, cha watoto wadogo wa kike, seble, dinning room, chumba cha maongezi, chumba cha kusomea, jiko, store, choo na bafu 3, chumba cha wageni.
Duh!
hahahaaaa,
 
Ya kuchora ramani na kuzitangaza kwenye mitandao, hunajua sheria na kanuni za bodi ya wasanifu na wakadiriaji majenzi zinakataza hiki unachokifanya?[emoji28][emoji28]
Mkuu mimi wala sijui hao watu, mimi natumia nguvu yangu, muda wangu na uwezo wangu. Hao jamaa wangelikua wa maana basi nadhani wangejikita zaidi kutafutia ajira magraduate wao tu.
 
Watanzania mwache ushamba ulaya mawazo kama haya hayapo mkuu. Hapa duniani unaweza kufanya lolote ambalo unaliweza, acha kuogopa ogopa. Nimekaa ulaya sijawai kutana mawazo ya kishamba kama haya.

Wacha mchezo fundi maiko wewe huyo ulikaa ulaya?
 
Hapa chini ni ramani ya nyumba vyumba viwili inaendelea kuandaliwa.
Lakini pia ina public toilet, dinning, sitting room, kitchen na stoo. Unaweza kujionea mwenyewe.

mmexport1611520839416.png


mmexport1611520834912.png


mmexport1611520829479.png


mmexport1611520822490.png
 
Kama hii ni ramani...sa sijui ramani ziiitweje.
Fundi Maiko bhanna...
 
Back
Top Bottom