Hechy Essy
JF-Expert Member
- Mar 30, 2023
- 640
- 2,413
- Thread starter
- #301
Kwa sehemu zenye asili ya maji maji, unaweza ukatumia zege kavu kudhibiti maji kupanda juu. Katika hiyo zege unaweka maji kidogo sana (wengine hawaweki kabisa) na kwenda kulimwaga sehemu husika, zege litakuwa linafyonza maji kidogo kidogo kwa sababu halina maji ya kutosha na baadae litaanza kukomaa taratibu taratibu, kadri maji yanavyopanda ndio itakuwa inaikomaza zaidi (inakuwa kama mtu anayemwagilia, CONCRETE CURING).
Hapo maji hayatopanda tena juu labda itokee mahali kwenye hiyo zege kukawa na nyufa au kitobo, kama utaweka zile expansion joint basi hakikisha unaziba na zile gundi maalum ambazo water proof
Ramani, Makadirio au Ushauri tuwasiliane +255(0)624068809
Hapo maji hayatopanda tena juu labda itokee mahali kwenye hiyo zege kukawa na nyufa au kitobo, kama utaweka zile expansion joint basi hakikisha unaziba na zile gundi maalum ambazo water proof
Ramani, Makadirio au Ushauri tuwasiliane +255(0)624068809