KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Kwa hiyo unataka Burundi na Rwanda wasionekane, au una maana gani wewe na hiyo "scale" unayoizungumzia!Scale iliyotumika. Inabid wabadilishe scale Ili ionekane. Kulikuwa hkna haja ya kutumia scale kubwa Hivyo.
Zanzibar itakuwa nchi bhanaView attachment 2181612
Upande wa kwanza Zanzibar ni nchi iliyoungana na Tanganyika ikapatikana Tanzania, katika huu muungano Zanzibar inabidi iwe na raisi au makamu wa raisi wa Tanzania, Pia Wazanzibari katika huu muungano wapo Mawaziri, mabalozi, wakuu wa taasisi, wabunge, Idara za ulinzi, waajiriwa, n.k.
Lakini kwa upande mwengine Zanzibar ina serikali yake ambayo haiingiliani na Tanganyika, Kwa mfano kwenye Ajira za serikali ya Zanzibar inabidi muombaji awe mzanzibari, Wana rais wao Mzanzibari, Wana katiba yao, Wana mahakamu wa raisi Mzanzibari, wama bunge lao la wazanzibari, Wana taasisi zao za mpira, umeme, mapato, n.k. Huku Mtanganyika hakumuhusu.
Sasa kama eneo linalooneshwa kwenye ramani ni upande wa Tanganyika pekeyake utasemaje ni ramani ya Tanzania?
Hivyo ni ramani ya mkoloni Tanganyika.View attachment 2181612
Upande wa kwanza Zanzibar ni nchi iliyoungana na Tanganyika ikapatikana Tanzania, katika huu muungano Zanzibar inabidi iwe na raisi au makamu wa raisi wa Tanzania, Pia Wazanzibari katika huu muungano wapo Mawaziri, mabalozi, wakuu wa taasisi, wabunge, Idara za ulinzi, waajiriwa, n.k.
Lakini kwa upande mwengine Zanzibar ina serikali yake ambayo haiingiliani na Tanganyika, Kwa mfano kwenye Ajira za serikali ya Zanzibar inabidi muombaji awe mzanzibari, Wana rais wao Mzanzibari, Wana katiba yao, Wana mahakamu wa raisi Mzanzibari, wama bunge lao la wazanzibari, Wana taasisi zao za mpira, umeme, mapato, n.k. Huku Mtanganyika hakumuhusu.
Sasa kama eneo linalooneshwa kwenye ramani ni upande wa Tanganyika pekeyake utasemaje ni ramani ya Tanzania?
Bila magnifying glass huwezi kukaona ni kadogo mnoView attachment 2181612
Upande wa kwanza Zanzibar ni nchi iliyoungana na Tanganyika ikapatikana Tanzania, katika huu muungano Zanzibar inabidi iwe na raisi au makamu wa raisi wa Tanzania, Pia Wazanzibari katika huu muungano wapo Mawaziri, mabalozi, wakuu wa taasisi, wabunge, Idara za ulinzi, waajiriwa, n.k.
Lakini kwa upande mwengine Zanzibar ina serikali yake ambayo haiingiliani na Tanganyika, Kwa mfano kwenye Ajira za serikali ya Zanzibar inabidi muombaji awe mzanzibari, Wana rais wao Mzanzibari, Wana katiba yao, Wana mahakamu wa raisi Mzanzibari, wama bunge lao la wazanzibari, Wana taasisi zao za mpira, umeme, mapato, n.k. Huku Mtanganyika hakumuhusu.
Sasa kama eneo linalooneshwa kwenye ramani ni upande wa Tanganyika pekeyake utasemaje ni ramani ya Tanzania?
Wewe wewe wewe Ukome na ulegee kwa Jina la Jamuhuri ya Muungano wa Jamuhuri ya Tanganyika na Jamuhuri ya Watu wa ZanzibarZanzibar sio nchi