Mr.Wenger
JF-Expert Member
- Nov 20, 2014
- 2,569
- 6,165
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu ushauri tu. Nyumba ni kitu cha kudumu miaka mingi, si vema ukachukua ramani mitaani na kuihamishia kwny kiwanja chako. Mtafute mchora ramani anayejua kazi yake mpeleke kiwanjani kwako akuchoree ramani hiyo unayotaka lkn kwa mazingira ya kiwanja chako. Vinginevyo ni rahisi kupata ramani ambayo ukisha jenga nyumba yako na kuanza kuitumia ikawa nyumba inanuka na joto kali muda wote sbb umenunua ramani kihorera. Utakua una bahati sana kama utapata ramani sahihi kwa staili hii. Good luckVyumba viwili, kimoja master
Dinning, sitting, jiko na public toilet
Simu 0712464478
mkuu wewe ni fundi? haka karamani kwa hali ya sasa unajenga Hela ngapi mpaka kuhamia?
Akikujibu nitonyemkuu wewe ni fundi? haka karamani kwa hali ya sasa unajenga Hela ngapi mpaka kuhamia?
Mkuu Mr.Wenger yupo online lakini haleti jibu.Akikujibu nitonye