Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
habari,
Nina kakiwanja kadogo measuring 14 x14 meters.
Nataka kuweka frame moja ya duka la dawa baridi na mamlaka ya dawa nasema minimum dimension of the duka la dawa iwe futi 10 urefu, futi 9 upana na futi 8 kimo
Pili nataka nipate frame ya duka
Tatu, chumba kidogo cha kulala mfanyakazi kuweka kitanda cha 5x6........ if possible chumba kiwe na ka sebule kadogo. Is this possible kwa ka kiwanja ako?
Mwisho gharama zenu ni zipi?
NB: Duka la dwa lazimaliwe na ka stoo kadogo ka kutunzia dawa. .................with shelv
Inawezekana mkuu.habari,
Nina kakiwanja kadogo measuring 14 x14 meters.
Nataka kuweka frame moja ya duka la dawa baridi na mamlaka ya dawa nasema minimum dimension of the duka la dawa iwe futi 10 urefu, futi 9 upana na futi 8 kimo
Pili nataka nipate frame ya duka
Tatu, chumba kidogo cha kulala mfanyakazi kuweka kitanda cha 5x6........ if possible chumba kiwe na ka sebule kadogo. Is this possible kwa ka kiwanja ako?
Mwisho gharama zenu ni zipi?
NB: Duka la dwa lazimaliwe na ka stoo kadogo ka kutunzia dawa. .................with shelves