Ramani za majengo.

Ramani za majengo.

David 97

Member
Joined
Sep 21, 2020
Posts
10
Reaction score
7
Tunaandaa na kuuza ramani za majengo kwa gharama nafuu sana kuanzia 130,000/= na kuendelea. Ni kwa mikoa yote.

Tupigie simu au WhatsApp
0759009331.
HM_2 - Photo.jpg
MHH4_47 - Photo.jpg
KBH_5 - Photo.jpg
KM1_5 - Photo.jpg
 
habari,
Nina kakiwanja kadogo measuring 14 x14 meters.
Nataka kuweka frame moja ya duka la dawa baridi na mamlaka ya dawa nasema minimum dimension of the duka la dawa iwe futi 10 urefu, futi 9 upana na futi 8 kimo
Pili nataka nipate frame ya duka
Tatu, chumba kidogo cha kulala mfanyakazi kuweka kitanda cha 5x6........ if possible chumba kiwe na ka sebule kadogo. Is this possible kwa ka kiwanja ako?

Mwisho gharama zenu ni zipi?

NB: Duka la dwa lazimaliwe na ka stoo kadogo ka kutunzia dawa. .................with shelves
 
Tangazo la ramani halafu kiambata unaweka picha?
 
M
habari,
Nina kakiwanja kadogo measuring 14 x14 meters.
Nataka kuweka frame moja ya duka la dawa baridi na mamlaka ya dawa nasema minimum dimension of the duka la dawa iwe futi 10 urefu, futi 9 upana na futi 8 kimo
Pili nataka nipate frame ya duka
Tatu, chumba kidogo cha kulala mfanyakazi kuweka kitanda cha 5x6........ if possible chumba kiwe na ka sebule kadogo. Is this possible kwa ka kiwanja ako?

Mwisho gharama zenu ni zipi?

NB: Duka la dwa lazimaliwe na ka stoo kadogo ka kutunzia dawa. .................with shelv

habari,
Nina kakiwanja kadogo measuring 14 x14 meters.
Nataka kuweka frame moja ya duka la dawa baridi na mamlaka ya dawa nasema minimum dimension of the duka la dawa iwe futi 10 urefu, futi 9 upana na futi 8 kimo
Pili nataka nipate frame ya duka
Tatu, chumba kidogo cha kulala mfanyakazi kuweka kitanda cha 5x6........ if possible chumba kiwe na ka sebule kadogo. Is this possible kwa ka kiwanja ako?

Mwisho gharama zenu ni zipi?

NB: Duka la dwa lazimaliwe na ka stoo kadogo ka kutunzia dawa. .................with shelves
Inawezekana mkuu.
Nicheki 0759009331 tufanye kazi
 
Back
Top Bottom