Ramli: Lady Jaydee kuolewa mara ya pili

Hivi baba mwanaasha ameshasaini ile kitu ya Juzi Juzi?
 
Hahahaaa,kumbe ni maneno ya mpiga ramli? Huyo mtu maarufu, mwenye pesa zake na mwenye heshima ni nani?Au ni mwanasiasa?
Uwiiii ngoja nifunge bakuli sina mamilioni mie!

Ngoja nimalizie sehemu ya ramli iliyobakia

Atakuwa uncle King.....tawireeee
 
Ana hoteli au mpaka awe na nini ndio awe mfanyabiashara

Hoteli gani hiyo? Hivi unajua nini maana ya hoteli? Au ulimaanisha ule mgahawa na grocery ya MOG pale Kinondoni palipododa?

Nadhani ungemuita Mwanamziki Mkongwe maarufu inge-make sense lakini sio mfanyabiashara maarufu... huo ni ushabiki mandazi sasa.. watanzania wanamjua kama mwanamziki na sio mfanyabiashara.
 

Wivu tu kwani jide sio mfanyabiashara? Au ulitaka aambiwe bwana enu ndomo ndo mfanya biashara maarufu ndo mfurahi? Nfyuuuu ntolee wivu wako wa kichawi huo
 

Iwe hotel, mgahawa au duka still bado ni mfanyabiashara, usitake kujifanya una matatizo ya akili na huelewi nini maana ya biashara
 
Hahahaaa,kumbe ni maneno ya mpiga ramli? Huyo mtu maarufu, mwenye pesa zake na mwenye heshima ni nani?Au ni mwanasiasa?
Uwiiii ngoja nifunge bakuli sina mamilioni mie!

Labda atakuwa ney wa mitego
 

mambo binafsi hayo.
 
Wote mmekoseaaaa.Kweli hii siri tunayo wachache sana! Shauri zenu maana ule wakati wa "Dare to talk openly" umeshaisha.Na wala sisemi miye nisijezeekea lupango!

Bado mswaada haujapitishwa bwana ebu kuwa open mdada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…